nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,199
- 6,889
Kwa mambo hayo mawili naiona Tanzania mpya ikija kwa kasi ya ajabu, na tuelewe ya kwamba watu wa chini kama hawa machinga ndio wamekuwa chachu ya kuleta mabadiliko katika nchi za wengine.
Tujaribu kukumbuka kilichotokea tunisia december 17/12/2020 baada ya machinga anayeitwa “Mohamed Bouazizi” ambaye aliamua kujichoma moto akiwa mzima kabisa na vuguvugu la mapinduzi katika nchi za kiarabu.
Kwa wingi wao hawa machinga busara itumike kuwaondoa katika maeneo yao waliyoyazoea na si vurugu tunazozishuhudia kwa sasa.
Tujaribu kukumbuka kilichotokea tunisia december 17/12/2020 baada ya machinga anayeitwa “Mohamed Bouazizi” ambaye aliamua kujichoma moto akiwa mzima kabisa na vuguvugu la mapinduzi katika nchi za kiarabu.
Kwa wingi wao hawa machinga busara itumike kuwaondoa katika maeneo yao waliyoyazoea na si vurugu tunazozishuhudia kwa sasa.