Rahabu
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 5,525
- 3,316
Wee wafanya biashara wengi asaivi kwakweli
Kuna miti special inayotumika kama miswaki, hiyo ni mizuri sana
Wee wafanya biashara wengi asaivi kwakweli
Kuna miti special inayotumika kama miswaki, hiyo ni mizuri sana
K/koo unaokota 3 kwa 500Mkuu, uwe unanunua zile za Colgate. Zinauzwa 1500 kwa mmoja. Angalau zinajitahidi kulinganisha na nyinginezo.
Nimecheka sana duh nikazani umeuona mswaku wangu ndo ukaulizaWataalamu tofauti wa Afya hasa madaktari wa meno, wamebainisha kwamba mswaki lazima ubadilishwe kila baada ya miezi mitatu.
Hata hivyo, wengi wetu hatuzingatii hii kanuni ya kiafya ipasavyo kwa kuweka mdomo katika hali ya usafi, ila kuna baadhi wanaozingatia hii kanuni.
Kwa mimi binafsi hii kanuni huwa naivuta kabisa ambapo huwa natumia mswaki zaidi ya miezi mitatu
Ebu tuwe wakweli, wewe huwa unabadilisha mswaki kila baada ya muda gani kwa kujali afya ya kinywa chako?
Nimecheka sana duh nikazani umeuona mswaku wangu ndo ukauliza
Kwa sasa wangu naona nibadilishe niliununua cargary city wakati najiandaa kurudi bongo..
maana huu ni mwaka wa 11 unasepa sijabadilisha na haujabadilika kama nimeununua juzi ubora wake naona umipitiliza kwa kweli
Me pia wakwangu unatimiza miaka miwili kesho halafu bado mpyaaaaa sasa kuutupa ni uharibifu .Nimecheka sana duh nikazani umeuona mswaku wangu ndo ukauliza
Kwa sasa wangu naona nibadilishe niliununua cargary city wakati najiandaa kurudi bongo..
maana huu ni mwaka wa 11 unasepa sijabadilisha na haujabadilika kama nimeununua juzi ubora wake naona umipitiliza kwa kweli
Sabuni ya unga INA nn?ilikuwa hivyo zamani napiga hadi mwaka mzima
ila kwa sasa nabadili kulingana na ushauri wa daktari eidha miezi 2 au mi3 baada kugundua chanzo cha mavizi kuuma mpk nahamisha upande nilozoea kutafunia ni mswaki kutumia kwa muda mrefu kiasi brash kukakamaa inapelekea kuzihalibu nyama za vizi mwisho huvimba nashindwa kutafuna nahamia upnde mwingne kitafuna ambao hujazoea naishia kujing'ata tu
na sio kubadili mswaki kila miezi 3
inapaswa pia kila baada miezi umuone daktari wa meno akusafishe meno yako
vivo hivyo jitahidi kila wiki utumie magadi au ukikosa agharabu sabuni ya unga
ili kukifanya kinywa meno pamoja na fizi kuwa bora zaidi
Punguzeni pia matumiz ya miswaki ya madukani japo tu kisasa zaidi ila mswaki wa miti ni dawa tosha kwa kinywa na meno yako
Huo mswaki ni noma sana.Nina mswaki wangu wa Colgete una mwaka wa tatu sasa na haujatoka hata brush moja wala hazijakunjika...!
Kusema ukweli huu mswaki ni kiboko asee...
Madaktari waendelee na ushauri wao...mi sina mpango wakubadili mswaki kwa sasa...!