bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 757
- 1,020
Poleni na kazi wakuu,
Katika maofisi mbalimbali kunawatu mwonekano wao huwa na utata either mwili mdogo au umri wake hautabiliki kiasi cha kukufanya uwe njia panda kumpa shikamoo au la.
Ila kuna watu wanapenda kuonekana wakubwa hata kama ni wadogo mfano watu wengi kutokea mkoa wa Mbeya.
Je, huwa unaipotezeaje shikamoo?
Mtu anastahili shikamoo akikuzidi miaka mingapi?
Mimi huwa nawasalimia pole na kazi kiongozi au mkuu!
Katika maofisi mbalimbali kunawatu mwonekano wao huwa na utata either mwili mdogo au umri wake hautabiliki kiasi cha kukufanya uwe njia panda kumpa shikamoo au la.
Ila kuna watu wanapenda kuonekana wakubwa hata kama ni wadogo mfano watu wengi kutokea mkoa wa Mbeya.
Je, huwa unaipotezeaje shikamoo?
Mtu anastahili shikamoo akikuzidi miaka mingapi?
Mimi huwa nawasalimia pole na kazi kiongozi au mkuu!