Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,403
- 14,160
Uzi tayari. Mana utaambiwa ni hela unatengeneza huku umekaa tu
ahaaaa nimewahi kwenda semina global alliance pale kawee, wanakuwa wanarushaa vihera vya noti na kupiga pichaa, nilisema ngoja nisikilize kwanzaa pindii hadi mwsho nipate ukwelii kama ni kweli au laaa, nikausoma mchezo wote nilipowaaga tu aliyenitongoza nikamla bloko ya nguvuNawakumbukaga wajinga wa Global Alliance na wale Q net
Ni mwendo wa kushoto kulia, mnaitikia "laki na arubaini"
Mbaf sana
Endelea kudanganya watuForex,stock,crypto,freelancing yani ni pesa tupu
ahaaaa nimewahi kwenda semina global alliance pale kawee, wanakuwa wanarushaa vihera vya noti na kupiga pichaa, nilisema ngoja nisikilize kwanzaa pindii hadi mwsho nipate ukwelii kama ni kweli au laaa, nikausoma mchezo wote nilipowaaga tu aliyenitongoza nikamla bloko ya nguvu
Kila mtu zero kama wewe biasahra nhingine sio za wenye mioyo miepesi si wagiriki tuacheniEndelea kudanganya watu