Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Katika maisha kuna tofauti ambazo huwa zinajiktokeza baina yetu. Kuna wakati unaona kabisa mtu anakosea,anaudhi na anaenda mrama (kinyume) sana kwa namna ambavyo unategemea aikune roho yako.
Binafsi mtu nikiona anafanya hivyo,huwa namwambia ukweli na live bila kujali atareact vipi. Huwa sijali sana,nakuchana tu live ili uone kwamba kuna kitu unaboa.
Je wewe mwenzangu huwa unachukua maamuzi gani unapoona mtu anakuudhi, anakuona au anakosea?
Karibuni.
Binafsi mtu nikiona anafanya hivyo,huwa namwambia ukweli na live bila kujali atareact vipi. Huwa sijali sana,nakuchana tu live ili uone kwamba kuna kitu unaboa.
Je wewe mwenzangu huwa unachukua maamuzi gani unapoona mtu anakuudhi, anakuona au anakosea?
Karibuni.