Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,960
Wakuu mimi huwa nashindwa kumwambia mtu anaeniomba pesa kama, "hapana, sina pesa", yaani huwa inakua vigumu sana.
Yani ntajizungusha weeeee. Siwez mwambia kuwa "Aisee, sina hela hiyo"
Yani kabisa najua siwezi kumpa hiyo hela, ninaweza hadi kudanganya kuwa ntaangalia ila siwez kumwambia kuwa "Sina pesa, siwezi kukupa pesa"
Nyie wenzangu mnafanyaje inapotokea mtu anakuomba pesa halaf unajua huwezi kumpa? Yani huwezi kumpa kabisa, iwe unayo ama huna. Unapambana vipi na huyo mtu?
Au na nyie mnazunguka zunguka?
Uzi tayari
Yani ntajizungusha weeeee. Siwez mwambia kuwa "Aisee, sina hela hiyo"
Yani kabisa najua siwezi kumpa hiyo hela, ninaweza hadi kudanganya kuwa ntaangalia ila siwez kumwambia kuwa "Sina pesa, siwezi kukupa pesa"
Nyie wenzangu mnafanyaje inapotokea mtu anakuomba pesa halaf unajua huwezi kumpa? Yani huwezi kumpa kabisa, iwe unayo ama huna. Unapambana vipi na huyo mtu?
Au na nyie mnazunguka zunguka?
Uzi tayari