Huwa nikiona PICHA kama hii, huwa sielewi kwa nini Kijana alale kisa hana kazi

MSEZA MKULU

JF-Expert Member
Jul 22, 2011
3,752
5,497
3685542_rrrra_jpegacb39e8e130257e726315545c16fcbd3


Kama mama na bibi zetu wanakomaa namna hii tusilale njaa, Leo vijana wengine Graduates maelfu tunalala tunaangalia movie, series, games, vijiwe vya pool table tunaisubiri serikali ituletee ajira. Na wengine wanajifanya WANASHINDA MAKANISANI na MISIKITINI badala ya kufanya kazi.

Huyu ni mama wa mchezaji Maarufu wa Nigeria (Super Eagle) Rashid Yekini miaka minne baada ya kifo cha mwanae
 
3685542_rrrra_jpegacb39e8e130257e726315545c16fcbd3

Kama mama na bibi zetu wanakomaa namna hii tusilale njaa, Leo vijana wengine Graduates maelfu tunalala tunaangalia movie, series, games, vijiwe vya pool table tunaisubiri serikali ituletee ajira. Na wengine wanajifanya WANASHINDA MAKANISANI na MISIKITINI badala ya kufanya kazi.

Huyu ni mama wa mchezaji Maarufu wa NIgeria (Super Eagle) RASHID YEKINI miaka minne baada ya kifo cha mwanae.
Ina maana mama wa Rashidi yekini amekua na maisha hayo baada ya mwanae kufariki? Wapi serikali japo imsaidie ili kuthamini mchango wa mwanae kwa taifa la Nigeria kwenye ulimwengu wa Soka?

R.I.P Rashidi Yekini,bado nalikumbuka goli lako la World cup uliloamua kulishangilia kwa kutoa mikono ndani ya Nyavu za Goli.
 
Ina maana mama wa Rashidi yekini amekua na maisha hayo baada ya mwanae kufariki? Wapi serikali japo imsaidie ili kuthamini mchango wa mwanae kwa taifa la Nigeria kwenye ulimwengu wa Soka?

R.I.P Rashidi Yekini,bado nalikumbuka goli lako la World cup uliloamua kulishangilia kwa kutoa mikono ndani ya Nyavu za Goli.
Wewe ni mgeni na mambo ya serikali za Afrika?
 
Na yeye
Wewe ni mgeni na mambo ya serikali za Afrika?
Na yeye mchezaji pia wa kulaumiwa kwa namna moja au nyingine,ina maana alishindwa kuwekeza hata kidogo kujisaidia yy mwenyewe na wazee wake,waafrika bhana ,naona wakina Eric djembadjemba wametokea hukohuko
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Back
Top Bottom