kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 811
Hiyo cha mtoto mama na wala sijaona mpya ya kusisimua mpaka saa hii,kuna aliyewahi kupata ile ya kukimbizana mko machungani kisha mkikamatana mnaangukia kwenye mbigili a.k.a miba na kumalizia shughuli hapo?
hii imenifanya nikumbuke mbaaali sana maumivu baada ya tendo huku mkitoana miba ya mbigili