GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Naomba kuwaulizeni hivi kuna ' Great Thinker ' wa kweli na aliyetukuka kabisa ambaye huwa anamuelewa Ansbert Ngurumo na yale yote ambayo ama huwa anayaandika, anayaibua, anatuaminisha nayo na anatulazimisha tuyaamini?
Kuna Msanii mmoja wa Kitanzania ( nimemsahau jina ) aliwahi Kuimba / Kusema kwamba siyo lazima kila Mtu awe Mwimbaji bali wengine pia tunaweza Kujigawa katika kufanya mambo mengine na tusilazimishe visivyolazimika na ambavyo Kimsingi hatuviwezi na sasa naanza kumuelewa.
Nawasilisha.
Kuna Msanii mmoja wa Kitanzania ( nimemsahau jina ) aliwahi Kuimba / Kusema kwamba siyo lazima kila Mtu awe Mwimbaji bali wengine pia tunaweza Kujigawa katika kufanya mambo mengine na tusilazimishe visivyolazimika na ambavyo Kimsingi hatuviwezi na sasa naanza kumuelewa.
Nawasilisha.