Huwa najiuliza haya maswali lakini sjawahi kupata majibu

EL ELYON

JF-Expert Member
Jan 2, 2013
1,563
1,886
Salamu wakuu
Awali ya yote mimi ni mwanachama hai wa Chama cha Mapinduzi na ni diwani wa kata fulani na kiongozi wa chama

Huwa najiulza haya maswali lakini sjawahi kupata majibu


1. Hili suala la tozo: Imeonekana wana CCM wenzangu wengi wanalishangilia sana na kufurahia as if wao hawalipi wala haliwagusi na nikiangalia maisha yao na hata ya wale wanaopnga kwa ujumla ni magumu sana hata mlo mmoja ni wa kuunga unga. Je, wanaposhangilia unyonyaji huu wa Serikali huwa wana maana gani?

2. Unyanyasaji wa viongozi wa upinzani: Nalo nimegundua wana CCM linawafurahisha sana yaani mpinzani hata akiuwawa wana ccm wanafurahia sa nabaki najiuliza shida iko wapi kama hivi vyama vya upinzani sisi wana ccm huwa tunasema havipo vilishakufa tunahangaika nao wa nini kwa kutumia jeshi la polisi, tume ya uchaguzi, msajili wa vyama vya siasa, TISS.

3. Kuhusu Bunge: Wakati Bunge lina mchanganyiko wa wabunge wachache wa upinzani viongozi wetu walikuwa wanatuaminisha wapinzani ndio wanatuchelewesha. Sasa sasa hivi mpaka madiwani, viongozi wa mitaa, wabunge wote ni CCM lakini kile walichokuwa wanakisema viongozi wetu wa chama na kiserikali kwamba wapinzani wanatuchelewesha mbona sioni jipya au kucheleweshwa ni haya matozo au nini.

Cha ajabu zaidi chama na Serikali wanalazmisha tena uwepo wa wapinzani Bungeni wasio na chama wakati viongozi wetu walikuwa wanatwambia wapinzani ni wacheleweshaji wa maendeleo.

4. Viongozi wetu wa CCM wakati wapinzani wapo bungeni hawa viongozi hawa walikuwa wakienda kwenye majimbo na kata za wapinzani walikuwa wanawaambia wananchi hamna maendeleo maana mmechagua wapinzani lakini cha ajabu majimbo mengi ya chama chetu CCM tokea uhuru yako chini ya CCM lakini ukiangalia hakuna jipya mfano jimbo la Ndugai kule hakuna kitu hata maji tu ni shida.

5. Kila kitu ndiyoooo: Pale bungeni wabunge wetu wao kila kitu ndiyooo hata kama hakina maslahi kwa taifa na wananchi wao ni ndiyooo tu. Mfano wakati wa Kikwete alisema pesa za Escrow ni za binafsi wapinzani wakasema ni za umma cha ajabu wabunge wetu wote wa CCM walisema ni za binafsi ndiyooooo

Akaja Magufuli akasema ni za umma na zirudishwe wabunge wetu wa CCM cha ajabu wote wakasema tena ndiyoooo

JE, TATIZO HUWA NI NINI NDUGU ZANGU NAOMBENI MWENYE MAJIBU YA HAYA.
 
Salamu wakuu
Awali ya yote mimi ni mwanachama hai wa chama cha mapinduzi na ni diwani wa kata fulan na kiongozi wa chama

Huwa najiulza haya maswali lakini sjawahi kupata majibu
1. Hili swala la tozo: imeonekana wana ccm wenzangu wengi wanalishangilia sn na kufurahia as if wao hawalipi wala haliwagusi na nikiangalia maisha yao na hata ya wale wanaopnga kwa ujumla ni magumu sn hata mlo mmoja ni wa kuunga unga. Je wanaposhangilia unyonyaji huu wa serikali huwa wanamaana gani?

2. Unyanyasaji wa viongozi wa upinzani: nalo nimegundua wana ccm linawafurahisha sn yaani mpinzani hata akiuwawa wana ccm wanafurahia sa nabaki najiukza shida iko wapi kama hivi vyama vya upinzani sisi wana ccm huwa tunasema havipo vlishakufa tunahangaika nao wann kwa kutumia jeshi la polisi, tume ya uchaguzi, msajili wa vyama vya siasa, TISS.

3. Kuhusu bunge: wakati bunge lina mchanganyiko wa wabunge wachache wa upinzani viongoz wetu walikuwa wanatuaminisha wapinzani ndo wanatuchelewesha. Sasa saivi mpk madiwani, viongoz wa mitaa, wabunge wote ni ccm lakini kile walichokuwa wanakisema viongoz wetu wa chama na kiserikali kwamba wapinzan wanatuchelewesha mbona sioni jipya au kuchekeweshwa ni haya ma tozo au nn.

Cha ajabu zaidi chama na serikali wanalazmisha tena uwepo wa wapinzan bungeni wasio na chama wakati viongoz wetu walikuwa wanatwambia wapinzani ni wacheleweshaji wa maendeleo.

4. Viongoz wetu wa ccm wakati wapnzani wapo bungen hawa viongoz hawa walikuwa wakienda kwny majimbo na kata za wapinzan walikuwa wanawawmbia wananchi hamna maendeleo maana mmechagua wapinzan lakin cha ajabu majimbo mengi ya chama chetu ccm tokea uhuru yako chn ya ccm lakini ukiangalia hakuna jipya mfano jimbo la ndugai kule hakuna kitu hata maji tu ni shida.

5. Kila kitu ndiyoooo: pale bungeni wabunge wetu wao kila kitu ndiyooo hata kama hakina maslahi kwa taifa na wananchi wao ni ndiyooo tu. Mfano wakati wa kikwete alisema pesa za escrow ni za bnafs wapinzan wakasema ni za umma cha ajabu wabunge wetu wote wa ccm walisema ni za bnafs ndiyooooo

Akaja magufuli akasema ni za umma na zirudishwe wabunge wetu wa ccm cha ajabu wote wakasema tena ndiyoooo

JE TATZO HUWA NI NN NDUGU ZANGU NAOMBENI MWENYE MAJIBU YA HAYA.
Wewe ni mwana CCM uliyebarikiwa,yaani unajitambua sana,wewe ni intellectual,wana CCM Dizaini yako Tanzania nzima hawafiki hata 10,kiuhalisia,CCM ni chama kilichojaa mapoyoyo na mapopoma ya kufa mtu,wapumbavu na wajinga Tanzania hii wanapatikana CCM tu
 
Salamu wakuu
Awali ya yote mimi ni mwanachama hai wa Chama cha Mapinduzi na ni diwani wa kata fulani na kiongozi wa chama

Huwa najiulza haya maswali lakini sjawahi kupata majibu


1. Hili suala la tozo: Imeonekana wana CCM wenzangu wengi wanalishangilia sana na kufurahia as if wao hawalipi wala haliwagusi na nikiangalia maisha yao na hata ya wale wanaopnga kwa ujumla ni magumu sana hata mlo mmoja ni wa kuunga unga. Je, wanaposhangilia unyonyaji huu wa Serikali huwa wana maana gani?

2. Unyanyasaji wa viongozi wa upinzani: Nalo nimegundua wana CCM linawafurahisha sana yaani mpinzani hata akiuwawa wana ccm wanafurahia sa nabaki najiuliza shida iko wapi kama hivi vyama vya upinzani sisi wana ccm huwa tunasema havipo vilishakufa tunahangaika nao wa nini kwa kutumia jeshi la polisi, tume ya uchaguzi, msajili wa vyama vya siasa, TISS.

3. Kuhusu Bunge: Wakati Bunge lina mchanganyiko wa wabunge wachache wa upinzani viongozi wetu walikuwa wanatuaminisha wapinzani ndio wanatuchelewesha. Sasa sasa hivi mpaka madiwani, viongozi wa mitaa, wabunge wote ni CCM lakini kile walichokuwa wanakisema viongozi wetu wa chama na kiserikali kwamba wapinzani wanatuchelewesha mbona sioni jipya au kucheleweshwa ni haya matozo au nini.

Cha ajabu zaidi chama na Serikali wanalazmisha tena uwepo wa wapinzani Bungeni wasio na chama wakati viongozi wetu walikuwa wanatwambia wapinzani ni wacheleweshaji wa maendeleo.

4. Viongozi wetu wa CCM wakati wapinzani wapo bungeni hawa viongozi hawa walikuwa wakienda kwenye majimbo na kata za wapinzani walikuwa wanawaambia wananchi hamna maendeleo maana mmechagua wapinzani lakini cha ajabu majimbo mengi ya chama chetu CCM tokea uhuru yako chini ya CCM lakini ukiangalia hakuna jipya mfano jimbo la Ndugai kule hakuna kitu hata maji tu ni shida.

5. Kila kitu ndiyoooo: Pale bungeni wabunge wetu wao kila kitu ndiyooo hata kama hakina maslahi kwa taifa na wananchi wao ni ndiyooo tu. Mfano wakati wa Kikwete alisema pesa za Escrow ni za binafsi wapinzani wakasema ni za umma cha ajabu wabunge wetu wote wa CCM walisema ni za binafsi ndiyooooo

Akaja Magufuli akasema ni za umma na zirudishwe wabunge wetu wa CCM cha ajabu wote wakasema tena ndiyoooo

JE, TATIZO HUWA NI NINI NDUGU ZANGU NAOMBENI MWENYE MAJIBU YA HAYA.

2851283_20210716_160047.jpg
 
1. Hili suala la tozo: Imeonekana wana CCM wenzangu wengi wanalishangilia sana na kufurahia as if wao hawalipi wala haliwagusi na nikiangalia maisha yao na hata ya wale wanaopnga kwa ujumla ni magumu sana hata mlo mmoja ni wa kuunga unga. Je, wanaposhangilia unyonyaji huu wa Serikali huwa wana maana gani
Wanalipa ila wanalipwa tena kupitia vikao, sare, nk
 
3. Kuhusu Bunge: Wakati Bunge lina mchanganyiko wa wabunge wachache wa upinzani viongozi wetu walikuwa wanatuaminisha wapinzani ndio wanatuchelewesha. Sasa sasa hivi mpaka madiwani, viongozi wa mitaa, wabunge wote ni CCM lakini kile walichokuwa wanakisema viongozi wetu wa chama na kiserikali kwamba wapinzani wanatuchelewesha mbona sioni jipya au kucheleweshwa ni haya matozo au nini.

Cha ajabu zaidi chama na Serikali wanalazmisha tena uwepo wa wapinzani Bungeni wasio na chama wakati viongozi wetu walikuwa wanatwambia wapinzani ni wacheleweshaji wa maendeleo.

4. Viongozi wetu wa CCM wakati wapinzani wapo bungeni hawa viongozi hawa walikuwa wakienda kwenye majimbo na kata za wapinzani walikuwa wanawaambia wananchi hamna maendeleo maana mmechagua wapinzani lakini cha ajabu majimbo mengi ya chama chetu CCM tokea uhuru yako chini ya CCM lakini ukiangalia hakuna jipya mfano jimbo la Ndugai kule hakuna kitu hata maji tu ni shida.

5. Kila kitu ndiyoooo: Pale bungeni wabunge wetu wao kila kitu ndiyooo hata kama hakina maslahi kwa taifa na wananchi wao ni ndiyooo tu. Mfano wakati wa Kikwete alisema pesa za Escrow ni za binafsi wapinzani wakasema ni za umma cha ajabu wabunge wetu wote wa CCM walisema ni za binafsi ndiyooooo
Tazama anachosema Nabii huyu

103305580_304238414311883_5879457783785308362_n.jpg
 
Hoja ni nzuri nayenye kufikirisha,ila nakukatalia wewe sio Mwana CCM kindakindaki.
Umejivika uchama wa chama tawala kuufikisha ujumbe vizuri.

Wewe huna chama chochote ila ni msomi na mchambuzi mzuri,pia una nafasi zaidi ya udiwani.
MUNGU AKUBARIKI SANA UMENIKOSHA.Endelea kuchambua,usijitokeze utapewa UGAIDI/UHAINI
 
Salamu wakuu
Awali ya yote mimi ni mwanachama hai wa Chama cha Mapinduzi na ni diwani wa kata fulani na kiongozi wa chama

Huwa najiulza haya maswali lakini sjawahi kupata majibu


1. Hili suala la tozo: Imeonekana wana CCM wenzangu wengi wanalishangilia sana na kufurahia as if wao hawalipi wala haliwagusi na nikiangalia maisha yao na hata ya wale wanaopnga kwa ujumla ni magumu sana hata mlo mmoja ni wa kuunga unga. Je, wanaposhangilia unyonyaji huu wa Serikali huwa wana maana gani?

2. Unyanyasaji wa viongozi wa upinzani: Nalo nimegundua wana CCM linawafurahisha sana yaani mpinzani hata akiuwawa wana ccm wanafurahia sa nabaki najiuliza shida iko wapi kama hivi vyama vya upinzani sisi wana ccm huwa tunasema havipo vilishakufa tunahangaika nao wa nini kwa kutumia jeshi la polisi, tume ya uchaguzi, msajili wa vyama vya siasa, TISS.

3. Kuhusu Bunge: Wakati Bunge lina mchanganyiko wa wabunge wachache wa upinzani viongozi wetu walikuwa wanatuaminisha wapinzani ndio wanatuchelewesha. Sasa sasa hivi mpaka madiwani, viongozi wa mitaa, wabunge wote ni CCM lakini kile walichokuwa wanakisema viongozi wetu wa chama na kiserikali kwamba wapinzani wanatuchelewesha mbona sioni jipya au kucheleweshwa ni haya matozo au nini.

Cha ajabu zaidi chama na Serikali wanalazmisha tena uwepo wa wapinzani Bungeni wasio na chama wakati viongozi wetu walikuwa wanatwambia wapinzani ni wacheleweshaji wa maendeleo.

4. Viongozi wetu wa CCM wakati wapinzani wapo bungeni hawa viongozi hawa walikuwa wakienda kwenye majimbo na kata za wapinzani walikuwa wanawaambia wananchi hamna maendeleo maana mmechagua wapinzani lakini cha ajabu majimbo mengi ya chama chetu CCM tokea uhuru yako chini ya CCM lakini ukiangalia hakuna jipya mfano jimbo la Ndugai kule hakuna kitu hata maji tu ni shida.

5. Kila kitu ndiyoooo: Pale bungeni wabunge wetu wao kila kitu ndiyooo hata kama hakina maslahi kwa taifa na wananchi wao ni ndiyooo tu. Mfano wakati wa Kikwete alisema pesa za Escrow ni za binafsi wapinzani wakasema ni za umma cha ajabu wabunge wetu wote wa CCM walisema ni za binafsi ndiyooooo

Akaja Magufuli akasema ni za umma na zirudishwe wabunge wetu wa CCM cha ajabu wote wakasema tena ndiyoooo

JE, TATIZO HUWA NI NINI NDUGU ZANGU NAOMBENI MWENYE MAJIBU YA HAYA.

It is good you are waking up.....kuna maisha mazuri yenye ufahamu na maono mapana nje ya ccm.
Toka huko mkuu hapakufai. Umeshaamka!...
 
Back
Top Bottom