Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,315
- 33,110
"HUWA NAJISIKIA KINYAA MWANAUME AKIYAANGALIA MAKALIO YANGU"......AMANDA
STAA wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi Amanda amefunguka kuwa anakasirishwa na tabia ya baadhi ya wanaume kupenda kumtazama sehemu ya nyuma ya mwili wake akimaanisha makalio.
Akizungumza na Mpekuzi wetu, Amanda alisema siku zote anakasirishwa na wanaume hao wanaofanya hivyo bila sababu za msingi na kuanika kuwa jambo hilo huwa linamkera kupita maelezo.
Utakuta mwanaume anatumia nguvu nyingi kukutazama makalio hadi anakukosesha raha.
Kwa nini asiniangalie na viungo vyangu vingine? Kwa kweli inatia kinyaa sana. Kwa taarifa yao wataishia kula kwa macho, alifunguka Amanda.
STAA wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi Amanda amefunguka kuwa anakasirishwa na tabia ya baadhi ya wanaume kupenda kumtazama sehemu ya nyuma ya mwili wake akimaanisha makalio.
Akizungumza na Mpekuzi wetu, Amanda alisema siku zote anakasirishwa na wanaume hao wanaofanya hivyo bila sababu za msingi na kuanika kuwa jambo hilo huwa linamkera kupita maelezo.
Utakuta mwanaume anatumia nguvu nyingi kukutazama makalio hadi anakukosesha raha.
Kwa nini asiniangalie na viungo vyangu vingine? Kwa kweli inatia kinyaa sana. Kwa taarifa yao wataishia kula kwa macho, alifunguka Amanda.