Kuna mmke anaiba mme wa mtu na kamganda mwenye mme kwa urafiki wa kinafiki kiasi kwamba mwenye mke kamuamini mno mpaka inatia huzuni,na hawa wote ni WATZ hivi rohoni unajisikiaje kwa ushetani huu,umepora mpaka haki ya msingi ya mtu kufurahia mume kutimiza miaka 50 kwa kumrubuni huyu mbaba kwa vipesa na kwenda nae bongo.