Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 892
- 1,226
Hawa jamaa nadhani washakuwa matajiri
Najiuliza hakuna system ya kucontrol au kutambua leakage katika bomba hili.
Mi nadhani wa kuwakamata ni wasimamizi na walioliweka bomba mtu wa kawaida kupamban mpaka kutoboa bila system kujua ni uongo mkubwa.
Najiuliza hakuna system ya kucontrol au kutambua leakage katika bomba hili.
Mi nadhani wa kuwakamata ni wasimamizi na walioliweka bomba mtu wa kawaida kupamban mpaka kutoboa bila system kujua ni uongo mkubwa.