Kayoka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 2,239
- 1,884
Jamani kuna wimbo sikumbuki unaitwaje (ila nadahani sijui BABA PAROKO) na kaimba nani ila baadhi ya beti zake ni hizi; naleta mashtaka kwako baba paroko........., ni wiki sasa mke wangu hatuongei......, nanyimwa haki yangu ya ndoa....., nikimgusa napigwa kipepsi....