Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,316
- 677
kuna ule wa mpenz stela jamaa alienda kumpoke mchumba akakuta anarud na mjapan na mtoto.
Baba Paroko wa Bushoke-mkazi wange bojo kaziro tina maela ninabatobangye..!
Kuna wimbo sijui unaitwaje na umeimbwa na nani, nasikia tu neno "FATIMATA". Anaeujua umeimbwa na nani?
Hapo umenikumbusha MARASHI YA PEMBA
Kajituliza kwake kasuku, hataki matata... ; Sijuhi ni wimbo wa nani - naupenda wimbo huu.
1. Utakuja nitafutaa...mashariki na magharibiii, utaliaaa...utaliaaa....aaaa....aaaa, usinioneeee!!
2. Nimetuma wakusalimie barua pia nimetuma usomeee.....(malizia)
3. Mwanetu kaza moyo uishi na mumeo..mumeo huyooo...ni wewe mwenyewe uliempenda. Tulikufahamisha mapema, kuwa mchumba wako ni mleviii...hukutaka kutusikiaaa, leo umeyaona mwenyewee, mwanetu eeee....
4. Nyimbo za Monica Seka na Oliver Ngoma nazo unifanya nitulie kidogo mpaka ziishe.
Kongosho...huo ni wa DDC mlimani park, nadhani kaimba pia Cosmas chidumule.
by Ndala Kasheba (RIP)
una balaa wewe
unanikumbusha, binti mmoja
yalimkuta ya dunia baada ya kufiwa wazazi
huu wimbo ndo ulikuwa hit, miaka hiyo.
kuna ule wa mpenz stela jamaa alienda kumpoke mchumba akakuta anarud na mjapan na mtoto sijui unaitwaje na aliimba nan! Ila duble duble na vunja mifupa
Habari za wkend,
Jamani kuna huu wimbo unaitwa AFRO wa les Wanyika mwenzenu unanichanganya sana. Kila niusikiapo natamani ninyanuke nicheze.
Na nyie wenzangu nyimbo gani ya zamani inawagusa?