ndio mkuu,huenda ni upendo kati ya mwanamke na mwanaumeAsante,Kwahio inaweza kuwa anampenda mwanaume pia?Japo kwenye video wanaonekana wadada watupu?
Nakumbuka Haji Manara akiwa Simba alikuwa anaposti jezi za Yanga anaziponda kumbe ni promotion 😂1. Naam
2. Hiyo kukataa inaweza kuwa ni reverse psychology tu au mind game. Watu wa PR wanajua vizuri zaidi. Controversy sells.
NB: Ambacho kipo tofauti ni video. Yenyewe inaonesha wamekubaliana ndio maana wanashikana shikana sana.
Mchongo si mchongo?
Nakumbuka Haji Manara akiwa Simba alikuwa anaposti jezi za Yanga anaziponda kumbe ni promotion 😂
I understandAsante,Kwahio inaweza kuwa anampenda mwanaume pia?Japo kwenye video wanaonekana wadada watupu?