Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Jioni hii the CITIZEN TV ya Kenya inatuarifu juu ya mwanaumme kakatwa uume wake na watu wasiojulikana na hivyo kufanya nia zao hizi zisijulikane.......Hivi sasa mwathirika huyo yupo hospitali ya Thika akipambana kuokoa maisha yake........tusichojua hadi sasa ni nia ya hao watu waovu...kama ni ushirikina au kisasi kwa mwizi wa mke wa mtu au wake za watu...............au mengineyo nje ya hapo...................
Huu uume mbona unaandamwa hivyo...................................kuna nini hapo?
Huu uume mbona unaandamwa hivyo...................................kuna nini hapo?