Madikizela
JF-Expert Member
- Jul 4, 2009
- 675
- 439
Wadau, kuna kijana yatima kamaliza kidato cha nne nina mfadhili. Jana nimeletewa form zinazoonesha amechaguliwa na wizara ya elimu na ufundi, kwenda kujiunga na chuo cha ufundi moshi ambacho ni cha binafsi. Kuna mapungufu mengi kwenye makabrasha hayo ukiwa ni pamoja na tofauti ya mafunzo baina ya form ya wizara na ya chuo hicho binafsi.
Nawaombeni msaada wenu wa mawazo kama ambavyo fomu ambatishi zinavyo jieleza
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nawaombeni msaada wenu wa mawazo kama ambavyo fomu ambatishi zinavyo jieleza
Sent from my iPhone using JamiiForums