Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
Poleni majirani kwa msiba wa Rais mstaafu Mwai Kibaki.
Lakini labda mnijuze/ mnifunze huu utaratibu wa kumweka maiti hasa kiongozi mkubwa aliyefariki kwa style hii mmeutoa wapi?
Binafsi naona kama inatisha sana sasa sijui wenzetu nyie mnaona inapendeza labda. Hii niliona hata kwa marehemu Daniel Moi.
Lakini labda mnijuze/ mnifunze huu utaratibu wa kumweka maiti hasa kiongozi mkubwa aliyefariki kwa style hii mmeutoa wapi?
Binafsi naona kama inatisha sana sasa sijui wenzetu nyie mnaona inapendeza labda. Hii niliona hata kwa marehemu Daniel Moi.