BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,676
- 3,378
Habar wakuu,
Kwa masikitiko makubwa napenda niwaombe TANESCO waje watoe kila kilicho chao majumbani mwetu ili tujue moja.
Wameanzisha utaratibu wa ajabu kwa wateja wanaodaiwa madeni. Mwanzo walikuwa wanatukata madeni kupitia mfumo wa Luku, yaani tunanunua umeme tunapewa nusu ya pesa tulionunua umeme. Tukinunua umeme wa 10000 tunakatwa 5000 tunapewa umeme wa 5000
Chaajabu hivi sasa hawataki tena tulipe kwa mfumo huo! Yaani wanataka ulipe kiasi kikubwa cha pesa, mfano nyumbani wametuambia tunatakiwa kulipa Tsh. 85000 kila mwezi halafu ndo turuhusiwe kununua umeme! Tusipotoa hiyo hela hatupati umeme!
Hili haliwezekani hata kidogo, umeme tunaotumia kwa mwezi ni wa 10000. Je tutawezaje kumudu hiyo 85000 kila mwezi?
TANESCO Tuoneeni huruma jamanii vyuma vimekaza. Leo ni siku ya NNE tupo kizani.
Kwa masikitiko makubwa napenda niwaombe TANESCO waje watoe kila kilicho chao majumbani mwetu ili tujue moja.
Wameanzisha utaratibu wa ajabu kwa wateja wanaodaiwa madeni. Mwanzo walikuwa wanatukata madeni kupitia mfumo wa Luku, yaani tunanunua umeme tunapewa nusu ya pesa tulionunua umeme. Tukinunua umeme wa 10000 tunakatwa 5000 tunapewa umeme wa 5000
Chaajabu hivi sasa hawataki tena tulipe kwa mfumo huo! Yaani wanataka ulipe kiasi kikubwa cha pesa, mfano nyumbani wametuambia tunatakiwa kulipa Tsh. 85000 kila mwezi halafu ndo turuhusiwe kununua umeme! Tusipotoa hiyo hela hatupati umeme!
Hili haliwezekani hata kidogo, umeme tunaotumia kwa mwezi ni wa 10000. Je tutawezaje kumudu hiyo 85000 kila mwezi?
TANESCO Tuoneeni huruma jamanii vyuma vimekaza. Leo ni siku ya NNE tupo kizani.