Waziri wa madini
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 379
- 465
Natamani kujua mshauri mkuu wa CHADEMA kwa sababu badala ya kujikita katika kujenga chama wanajikita katika kuanzisha kampeni ambazo wala hazina tija.
Nimesikia baadhi ya wanachama wa chadema wakisema watasusia kutumia mtandao wasimu wa Airtel Sasa jamani kususa ndio imekuwa Sera ya chadema au ndio tunaelekea kufeli
Nakumbuka walitangaza hivyo hivyo kwa mtandao wa Voda wakaja na tigo na Sasa airtel Sasa waungwana naomba kuuliza inamaana mnataka tusitumie simu au?
Na kwanini mnataka kuwaaminisha watu kuwa kila mnachofanya ni sahihi na kila anayeenda kinyume na nyinyi ni mpotevu .
Chama kijengwe katika misingi mizuri ili kilete matunda mazuri CDM mnachakujifunza kwa zzk
Nimesikia baadhi ya wanachama wa chadema wakisema watasusia kutumia mtandao wasimu wa Airtel Sasa jamani kususa ndio imekuwa Sera ya chadema au ndio tunaelekea kufeli
Nakumbuka walitangaza hivyo hivyo kwa mtandao wa Voda wakaja na tigo na Sasa airtel Sasa waungwana naomba kuuliza inamaana mnataka tusitumie simu au?
Na kwanini mnataka kuwaaminisha watu kuwa kila mnachofanya ni sahihi na kila anayeenda kinyume na nyinyi ni mpotevu .
Chama kijengwe katika misingi mizuri ili kilete matunda mazuri CDM mnachakujifunza kwa zzk