msemakwelii
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 216
- 47
Wana JF Kuna kitu sielewi kuhusu Mtuhumiwa wa mauaji ya Mwangosi kwa nini mara zote anapopelekwa mahakamani anafichwa sura na sijaona hata mwandishi mmoja aliyeweza kupiga picha halisi ya mtuhumiwa huyo na kutuletea, Hivi ni kweli Polisi wanawazidi akili Waandishi hata pale ndani mahakamani au hawaruhusiwi kupiga picha ndani ya mahakama, au polisi wanatuletea Kanyaboa mahakamani siku zote