joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
MY TAKE; Hivi Katiba mpya imesaidia nini Kama Mambo ya kijinga Kama haya bado yanaendelea?
MY TAKE; Hivi Katiba mpya imesaidia nini Kama Mambo ya kijinga Kama haya bado yanaendelea?
akikujibu hii unitag............ chama fulani kumiliki nchi bila kupigiwa kura utaisha lini?
nouma........... chama fulani kumiliki nchi bila kupigiwa kura utaisha lini?
waulize wana CCM, wakikupa jibu nitag nisome............ chama fulani kumiliki nchi bila kupigiwa kura utaisha lini?
Kwani Tanzania CCM imeshinda uchaguzi kihalali lini?........... chama fulani kumiliki nchi bila kupigiwa kura utaisha lini?
"We have the best Constitution in Africa"waulize wana CCM, wakikupa jibu nitag nisome.
MY TAKE; Hivi Katiba mpya imesaidia nini Kama Mambo ya kijinga Kama haya bado yanaendelea?
........... chama fulani kumiliki nchi bila kupigiwa kura utaisha lini?
kuelekea August 2022 unajikana? 🙆♂️ 😅 😅 🤷♂️ 🤷♂️Lini nilishabikia?
Na hiyo yako ya 17.13% umetoa wapi wewe mnyamwezi?Nimeikuta mahali ati wanadai wako Tanzania pia! 😅 😅 🤷♂️ 🤷♂️
View attachment 1938706
MY TAKE
Huyu mpuuzi Moses Kuria anadai 40% of votes r coming from Kikuyus and yet they make up 17.13% of all Kenyans kapata wapi hiyo figure?
Huyo Moses Kuria analazimisha kuwa mgombea mwenza wa Rutto, sikuliza ujinga anaosema, eti nafasi ya running mate is not negotiable, unawezaje kuzungumza ujinga huu wakati Kuna Katiba ya nchi?, Kweli Kenya ni wakabila kupitiliza.Nimeikuta mahali ati wanadai wako Tanzania pia!
View attachment 1938706
MY TAKE
Huyu mpuuzi Moses Kuria anadai 40% of votes r coming from Kikuyus and yet they make up 17.13% of all Kenyans kapata wapi hiyo figure?