Uchaguzi 2020 Huu upuuzi unaoendelea awamu hii ya uchaguzi, haujawahi kujitokeza kabla

kagoshima

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
2,628
5,133
Nimekuwepo tangu uchaguzi wa 1995 , nimejaribu Ku review chaguzi zote kuanzia hapo na zilizo fuatasijawahi kuona upuuzi unaofanywa na tume awamu hii wa kuwaengua wagombea wa vyama vya upinzani na kuwaacha wa chama tawala wapite un opposed.

Hapo kabla kulikuwepo matukio ya baadhi ya wagombea wa upinzani kujitoa na hivyo kupelekea mgombea anayebaki kupita bila kupingwa. Upuuzi wa saizi ati tume ndo inatupangia mpinzani yupi agombee na yupi akatwe na pengine yupi asitangazwe hata kama ameshinda hapo baadaye.

Sijui tunaelekea wapi, it is becoming worse each step ahead. Sijui mambo haya yatabadilika huyu jamaa akiondoka madarakani yaani mbele giza.
 
huu upuuzi tukiunyamazia nchi itakuwa ya kifalme sielewi kwanini wapinzani awamu hii wakipanga maandamano hawatekelezi.
 
Bad enough vijana ambao tulifikiri watakuwa makini kuchambua sera za wagombea na ilani zao for the next 5 years, Ndio Hao Hao wako mitandaoni wakiongozwa na Makamba junior kubishana nani kajaza uwanja...Smh, Tuna safari ndefu sana fam. Tuko kishabiki zaidi dizaini ya simba na yanga!!
 
huu upuuzi tukiunyamazia nchi itakuwa ya kifalme sielewi kwanini wapinzani awamu hii wakipanga maandamano hawatekelezi.
Ubongo wako una shida, kwa akili yako unawaza anayetakiwa kuandamana na Lisu na Mbowe et al
Bila kuwaza kwamba hata wewe unatakiwa kuwa part of the changes which you want
 
Ubongo wako una shida, kwa akili yako unawaza anayetakiwa kuandamana na Lisu na Mbowe et al
Bila kuwaza kwamba hata wewe unatakiwa kuwa part of the changes which you want

Wewe ndiye shetani Mwenye laana ,unafurahia kwa kinachotokea !

Yaani unachotoa ufahamu kisa hela unahopata kupitia CCM ,na ulaaniwe wewe na watoto wako
 
Those are the last kicks of a dying horse.

CCM good bye sooner or later.
 
Ubongo wako una shida, kwa akili yako unawaza anayetakiwa kuandamana na Lisu na Mbowe et al
Bila kuwaza kwamba hata wewe unatakiwa kuwa part of the changes which you want
wengi tuko tayari tunahitaji muhamasishaji wa kutupa mzuka, na ukimsoma jiwe kitu anachoogopa kuliko vyote ni maandamano huu ndio muda muafaka wapinzani kutumia weakness ya adui yao kumfrustrate mpaka aombe poo.
 
wengi tuko tayari tunahitaji muhamasishaji wa kutupa mzuka, na ukimsoma jiwe kitu anachoogopa kuliko vyote ni maandamano huu ndio muda muafaka wapinzani kutumia weakness ya adui yao kumfrustrate mpaka aombe poo.
Jiwe anajisifu kununua mandege na kujenga mabarabara hadi angani, sasa huo woga unatokana na nini?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom