Huu unyonge wa kushindwa kuongea mnapokereka wanaume unasababishwa na nini?

Wanawake nao wana mchango mkubwa sana katika jambo hili.


Haiwezekani mtu umechelewa kurudi unakausha tu hausemi kwa nini umechelewa yaani unatake easy kana kwamba hakuna kitu kichobadilika,kumbe uungwana unatakiwa useme kabla haujaulizwa na mumeo,ukijifanya kukauka kama hakuna kilichotokea hapo shida ndipo huanzia.

Lakini pia wanamke mzima anashindwa kujua kwamba mumewe anakereka akiwa anachati na simu huku yeye akiwa anataka kampani eti mpaka mume aseme,wakati ni wazi kwamba mweznio akitaka muongee usishike simu.

Mwanamke mzima anashindwa kujua kwamba mume anataka mikao mingi na sio kifo cha mende tu,ukisema umuambie ananuna anaona umemdharau na kusingizia wanaume watumie hekima wakati wanandoa inatakiwa vitu kama hivyo wawekane wazi.

Mwanamke eti anajifanya hajui kabisa kwamba mume anahitaji mke mtundu kitandani mpaka aambiwe kwamba shughulika,haaaa hiii sio saaaaawaaa.

Wanawake wajiongeze bwaanaa kuna mambo kweli yanahitaji tuseme kwamba hili na lile hatutaki lakini mengi sana wanawake wanatakiwa wajiongeze wao maisha yatabadilika sana katika ndoa nyingi.
Binafsi mm nikiulizwa tu na mke au mchepuko UPO WAPI kama ni mchepuko ajue tushaachana kama ni wife nisimkute nyumbani kwangu
 
Lakini pia ikumbukwe toka kuumbwa Kwa Dunia hii usaliti mkubwa na mbaya umefanywa na wanawake dhidi ya wanaume zao tafadhari rejerea hadithi zifuatazo

1. Bi eva dhidi ya bwana Adam
2.Bi.Delila dhidi ya ndugu Samson
3.Bi.Stella dhidi ya ndugu fresh mwamburi
4 hata Ile ya princess Diana dhidi ya prince wa wingereza

Wanaume ni wavumilivu, wenye mapenzi na wasiopenda marumbano hio tabia zetu Kwa hio basi ni wazi na kweli
Kuwa WANAUME WOTE NI WAAMINIFU WAPENDA HAKI NA WENYE UPENDO . Hii inathibitishwa katika visa mbali mbali kikiwamo

1.Titanic (utajifunza uaminifu, ukweli na kujali Kwa mwanaume
2.ndugu zangu wababa mtanisaidia kutoa mifao
 
Mwanaume mke wako amechelewa kurudi kazini unashindwa kuongea nae na kujua kilichotokea unanuna na kwenda kulala. Masikini binti wa watu hajui hata kama umekasirika.

Huyu hapa pichani anakereka kumuona mke wake ana chart kwenye simu, anashindwa kumwambia hisia zake amebaki kujikunyata huku akichemka kwa hasira.

Matatizo mengi ya mahusiano yanasababishwa na mawasiliano mabovu. Mdomo unepewa ili uweze kuwasiliana kirahisi. Kama mwenzako ana hasira tafuta jinsi ya kufikisha ujumbe umpate na aelewe kuwa ana kukera.

Kama unashindwa kuongea nae tumia texted massage, tumia mtu unae muamini afikishe ujumbe au hata barua. Tujifunze kuwasiliana katika mahusiano.

Huyo aliyelala hapo kando sio MWANAMUME.------ Mwanamume huwa hashindwi kusema. (Kazi ya limbwata hiyo).

Na nyie mpunguze LIMBWATA.
 
Cha ajabu hata kama mkisemwa kwa kuambiwa ukweli mnajifanya kuja juu,hivyo basi kukaa kimya wakati mwingine tunaepusha mengi.
 
Back
Top Bottom