Denis Alphonce
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 620
- 850
Binafsi mm nikiulizwa tu na mke au mchepuko UPO WAPI kama ni mchepuko ajue tushaachana kama ni wife nisimkute nyumbani kwanguWanawake nao wana mchango mkubwa sana katika jambo hili.
Haiwezekani mtu umechelewa kurudi unakausha tu hausemi kwa nini umechelewa yaani unatake easy kana kwamba hakuna kitu kichobadilika,kumbe uungwana unatakiwa useme kabla haujaulizwa na mumeo,ukijifanya kukauka kama hakuna kilichotokea hapo shida ndipo huanzia.
Lakini pia wanamke mzima anashindwa kujua kwamba mumewe anakereka akiwa anachati na simu huku yeye akiwa anataka kampani eti mpaka mume aseme,wakati ni wazi kwamba mweznio akitaka muongee usishike simu.
Mwanamke mzima anashindwa kujua kwamba mume anataka mikao mingi na sio kifo cha mende tu,ukisema umuambie ananuna anaona umemdharau na kusingizia wanaume watumie hekima wakati wanandoa inatakiwa vitu kama hivyo wawekane wazi.
Mwanamke eti anajifanya hajui kabisa kwamba mume anahitaji mke mtundu kitandani mpaka aambiwe kwamba shughulika,haaaa hiii sio saaaaawaaa.
Wanawake wajiongeze bwaanaa kuna mambo kweli yanahitaji tuseme kwamba hili na lile hatutaki lakini mengi sana wanawake wanatakiwa wajiongeze wao maisha yatabadilika sana katika ndoa nyingi.