kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Nimeshuhudia tabia hii mbaya siku moja nikiwa nateremka katika basi nikitokea Arusha.
Vijana wa stendi walianza kupiga mikelele miingi .".koronaa ...koronaa!"Nilihamanika kutokana na zomea zomea hiyo.
Jambo baya ni pale vijana wanapoona mtu mweupe. Wanafanya matendo ya wazi wazi ya ubaguzi huku wakizomea.Huu utamaduni ni mpya hapa kwetu na inapaswa udhibitiwe upesi.
Ni matumaini yangu serikali itakemea vikali na kuchukua hatua dhidi ya hawa vijana zomea zomea walioko stendi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana wa stendi walianza kupiga mikelele miingi .".koronaa ...koronaa!"Nilihamanika kutokana na zomea zomea hiyo.
Jambo baya ni pale vijana wanapoona mtu mweupe. Wanafanya matendo ya wazi wazi ya ubaguzi huku wakizomea.Huu utamaduni ni mpya hapa kwetu na inapaswa udhibitiwe upesi.
Ni matumaini yangu serikali itakemea vikali na kuchukua hatua dhidi ya hawa vijana zomea zomea walioko stendi.
Sent using Jamii Forums mobile app