Jana wakazi wa jiji la Mwanza walionja adha ya kutembelewa na amgombea kiti cha urais kupitia CCM mheshimiwa sana Dr. John Pombe Magufuli, barabara zilifungwa zaidi ya masaa matano.
Hakukuwa na gari inaruhusiwa kuelekea airport, maeneo ya Gold Crest barabara ilikuwa nyeupe hakuna chombo cha moto kiliruhusiwa.
Nilipatwa na wasiwasi sana na uelewa wangu ulikuwa kuwa huyu bado hajawa rais hivyo alitakiwa apite kama waziri wa ujenzi period!!!
Hivi hata mgombea urais kwa tiketi ya ACT Wazalendo,UKAWA,UDP na vyama vingine atapewa nafasi sawa na huyu wa CCM ambaye tayari ameshaanza kampeni hata kabla ya pazia kufunguliwa?
Tafadhari mwenye uelewa zaidi yangu anisaidie.
Hakukuwa na gari inaruhusiwa kuelekea airport, maeneo ya Gold Crest barabara ilikuwa nyeupe hakuna chombo cha moto kiliruhusiwa.
Nilipatwa na wasiwasi sana na uelewa wangu ulikuwa kuwa huyu bado hajawa rais hivyo alitakiwa apite kama waziri wa ujenzi period!!!
Hivi hata mgombea urais kwa tiketi ya ACT Wazalendo,UKAWA,UDP na vyama vingine atapewa nafasi sawa na huyu wa CCM ambaye tayari ameshaanza kampeni hata kabla ya pazia kufunguliwa?
Tafadhari mwenye uelewa zaidi yangu anisaidie.