Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,404
- 36,543
Pamoja na kutokuwa Muslim ila huwa nasikiliza mara kwa mara mafundisho ya Mashehe, huwa wanakuwa na maneno yakutoa ujumbe mzuri sana kwa jamii, hasa vijana wa kileo. Tunajisahau na kusahau tulikotoka hasa tukiwa na vijisenti vya kubadilisha mboga.
Nawewe msikilize huyu Mheshimiwa.
Nawewe msikilize huyu Mheshimiwa.