alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Kwa kipindi kirefu wajinga wachache wamekuwa wakituaminisha eti hali ni mbaya kwa kila kitu.Ujinga!
Hivi unatarajia Magufuli aje akuwekee pesa mfukoni?
Hivi Magufuli akufundishe kufanya kazi kwa bidii ili ujipatie kipato?
Hivi Magufuli aje kwako/shambani akufundishe namna ya kulima?
Hivi Magufuli aje kijiweni akukumbushe kukaa kijiweni na kuzurula hovyo hakutakupa kipato?
Ujinga kabisa!
Na mimi nasema mtu mzembe na si afe na tu njaa bali pia akaozee hata jela.Ujinga huo wa enyi wajinga kuzurula pasi na kufanya kazi na mfe kabisa!
Ikumbukwe asiye fanya kazi na asile.
Hivi unatarajia Magufuli aje akuwekee pesa mfukoni?
Hivi Magufuli akufundishe kufanya kazi kwa bidii ili ujipatie kipato?
Hivi Magufuli aje kwako/shambani akufundishe namna ya kulima?
Hivi Magufuli aje kijiweni akukumbushe kukaa kijiweni na kuzurula hovyo hakutakupa kipato?
Ujinga kabisa!
Na mimi nasema mtu mzembe na si afe na tu njaa bali pia akaozee hata jela.Ujinga huo wa enyi wajinga kuzurula pasi na kufanya kazi na mfe kabisa!
Ikumbukwe asiye fanya kazi na asile.