GEBA2013
JF-Expert Member
- Feb 22, 2014
- 4,248
- 4,622
Ndugu unaishi kwa dada?wanaoishi kwa shemeji zao huwa hawajui ugumu wa maisha,wao ni kula kulala wakivimbiwa wanakuja kujamba uharo huku.
kwa kifupi mazingira ya kazi zote iwe biashara kulima na mfanyakazi bdo c rafiki.
kilimo bdo kuna shda ya masoko na pembejeo mfano mzuri mahndi gunia ilikuwa hadi 15alfu.
kwa kifupi mazingira ya kazi zote iwe biashara kulima na mfanyakazi bdo c rafiki.
kilimo bdo kuna shda ya masoko na pembejeo mfano mzuri mahndi gunia ilikuwa hadi 15alfu.