Mwanakulipata
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 713
- 1,181
Wakuu kuna ndugu yangu anasumbuliwa na vipele vidogo vinamuwasha sana vipo kichwani kwenye nywele akikuna unatoka unga mweupe, vipo kifuani mgongoni makwapani.
Alienda hospital mara 3 akaambiwa fungasi ya damu lakini akitumia dawa inatulia then inarudi upya
Msaada
Alienda hospital mara 3 akaambiwa fungasi ya damu lakini akitumia dawa inatulia then inarudi upya
Msaada