GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,517
- 108,795
Unakuta Mtu hawasiliani nawe hata kwa Mwezi mmoja hadi hata mitatu lakini ukiweka tu Picha ya Demu au Mwanaume katika WhatsApp dp yako haraka sana utaona anakusalimu Kiufupi mno ila maelezo na maswali yake mengi yanakuwa katika hiyo Picha iliyopo. Kwahiyo kilichomvuta hapo Kuwasiliana nami ni Mimi kama Mimi ' Swahiba ' au ' Shosti ' wake au ni hizo Picha?
Huu Ugonjwa unaitwaje kwani naona unazidi tu Kuota Nyasi hasa kwa Watumiaji wa Mitandao nchini.
Nawasilisha.
Huu Ugonjwa unaitwaje kwani naona unazidi tu Kuota Nyasi hasa kwa Watumiaji wa Mitandao nchini.
Nawasilisha.