Inaumiza sana. Ni kweli hata yale ya kule Tunisia yalianza hivi hivi, ipo siku watajua ni nini kilimtimua Zine madarakani. Huo ni ukandamizaji na udhalilishaji wa hali ya juu. Ni vyema wasamaria wangemtetea
Jamani its so SAD.. ni nchi yetu wenyewe!!