Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Hata yule jamaa alikuwa anauza mboga mboga wakamchukulia toroli lake,yanaanzaga hivihivi.
dah huyu jamaa ni Arsenal chupi sio Arsenal damu tu, chama kubwa kulikoNaona chama hadi kwenye vyupi
walivyombeba utadhani hawaoni wakifanyacho
jamani kwani na tanzania kuna vita pia au ni kitu gani tena??
upo we mtoto mzuri
ooooooppss !!! nipo abuy akhbar yako?? [[