Huu tunaomfanyia Dr Ulimboka ni unafiki, ujinga na upumbafu uliokithiri!

Edson,
Ambacho sikijui ni hiki: Dr Ulimboka aliratibu na kuongoza mgomo wa MaDaktari vizuri sana. Anashindwaje kuongoza mapambano dhidi ya dhulma aloofanyiwa yeye mwenyewe? Ujasiri ule kama KIONGOZI wa Jumuia ya MaDaktari umeishia wapi? Afadhali hata baba yake mdogo alipinga yale maelezo ya DCI Manumba!

mkuu....andhani roho yako ingefurahi sana kama siku ile alipotua pale air port angeanza kuongea na kurudia kile ambacho alisakisema....ndo kwanza kafika hajamaliza hata mwezi tayari watu mnataka arudie kile alichokisema mwanzo ambacho mmeshindwa kupambana nacho....ka maumivu makali kabisa huyu mtu kwa dakika 19 na sekunde 37 aliweza kuongea na ksimulia kisa kizima ..chote kabisa na jinsi ilivyokuwa hadi akajeruhiwa namna ile...ile video bado mnayo mpaka sasa na hamjafanya lolote...amekuja kova na mkenya bado ambapo mnajua ni uongo kabisa na huyo mkenya hakuhusika bado mmekaa kimya....kama ni kusema atasema na ninaamini atarudi kile alichokwisha kukisema ambacho kwa unafiki mmeshindwa kumsaidia....
 
Sijui ni wewe au kuna dada mwingine mwanzoni mwa huu mkasa nilikuambia madaktari watarudi kazini they've mouths to feed. Madaktari walikuwa wanamtumia Dr. Ulimboka kama "human shield" nilisema serikali ililazimika kumfanyia unyama Dr. Ulimboka after realising that the doctors will emerge as victors for as long as Dr. Ulimboka is standing in the way. Terms and conditions of a civil servant didn't apply to him

Coming to your question where do we go from here I think though you might not necessarily agree with me, Mama Bisimba got herself involved in this, why can't she finish what she started? What is her job anyway!

Kurudi kazini sawa wamerudi that wa inevitable but at what cost? Kumbe by using Dr Ulimboka as a human shield risking his life was all for nothing? Lets hope this is not the end of it.
Bisimba and rest of wapambanaji hilo swali linahitaji kujibiwa. I agree with you totally it is as if nao wanamsubiri Dr aongee.
I asked where do we go from here as a Nation kama tukio kubwa hivi na mengine makubwa yanapita bila hata kuwatikisa utawala huu
 
Kurudi kazini sawa wamerudi that wa inevitable but at what cost? Kumbe by using Dr Ulimboka as a human shield risking his life was all for nothing? Lets hope this is not the end of it.
Bisimba and rest of wapambanaji hilo swali linahitaji kujibiwa. I agree with you totally it is as if nao wanamsubiri Dr aongee.
I asked where do we go from here as a Nation kama tukio kubwa hivi na mengine makubwa yanapita bila hata kuwatikisa utawala huu


Eliza, there are so many disappointing stories about jinsi madaktari wanavyohandle issue zao. Mfano mwingine ni jinsi interns walivyoachwa solemba baada ya kufutiwa leseni zao na kusimamishwa internship.
Wakati mwingine ni bora kutumia asilimia 80 ya muda kuplan na asilimia 20 tu kutekeleza jambo unalotaka. Katika hili sakata utekelezaji ulikuwa asilimia 80 na planning asilimia 20, thats why...
 
Unajua kuongoza Tanzania ni kazi nyepesi sana, kama Kikwete kaweza basi hicho ndo kipimo kwamba kuongoza nchi hii ni kitu rahisi sana.

Niliamini hivyo pale Kova na wenzake walipomseti yule Joshua Mulundi kwamba ndiye aliyempiga Ulimboka halafu watu tukakubali.
 
Kwani watanzania wanaolaumiwa hapa ni wakina nani? Je, anayelaumu yeye siyo mtanzania?
Mtoa mada umenena vizuri sana lakini hujatuambia kuwa sasa sisi kama watanzania tufanye nini au tuchukue hatua gani?
Tanzania kila mtu analalamika na hakuna mtu wa kujitokeza na kuonyesha namna ya kumaliza malalamiko na manung'uniko!
 
daah! Waliochangia maada ya ukimya wa Dr uli ndoo hao hao wanao support hoja hii,kweli wabongo ni dynamic wana twanga kotekote.Umbea tu!!
 
Eliza, there are so many disappointing stories about jinsi madaktari wanavyohandle issue zao. Mfano mwingine ni jinsi interns walivyoachwa solemba baada ya kufutiwa leseni zao na kusimamishwa internship.
Wakati mwingine ni bora kutumia asilimia 80 ya muda kuplan na asilimia 20 tu kutekeleza jambo unalotaka. Katika hili sakata utekelezaji ulikuwa asilimia 80 na planning asilimia 20, thats why...


ni makundi yote na si madaktari peke yao...........tatizo lingine haa wananchi wa kawaida waliokuwa wanapaswa kuwaunga mkono hawakuwaunga...lakini kwa kias flani walionyesha msimamo....kuna baadhi ya madai ambayo yalikuwa yanamhusu mwananchi wa kawaida..lakin cha ajabu hata sisi tuliwatega mgongo na kuanza kuwashambulia madaktari....wengi tunaamini mgonjwa akitoka namanyere kwenda muhimbili kufata x-ray au ct-scanner badi ni hatua kubwa na nzuri....
 
misingi ya upole,inyenyekevu,utii wa viongozi na wala sio sheria tulivyoachiwa na baba wa taifa mwlm jk vimetufanya tuwe wanafiki sana.pia kaulu mbiu ya kikwete kuhusu kulinda amani ya kwenye makaratasi inatutia uoga wa ajabu.
ukihoji mambo ya msingi kuhusu mstakabali wa taifa unaonekana mvunjifu wa amani.mbaya zaidi umaskini tunaoubeba kila kukicha unamfanya mtanzania wa kawaida kuona kuwa kuhoji mambo ya msingi ni kupoteza bora akae chini apange dili zisizo halal cha maana apate pesa ya kula leo kesho atajua ikifika.
lakini pamoja na hayo,tutaishi hivi mpa lini????????????


Don't blame your failure to the dead and ghosts. Kama ni uzembe tunao, kama ni unafiki tunao na kama ni woga tunao sisi. Hatuwezi tukasakizia kuwa hayo yamesababishwa na urithi wa Baba wa Taifa. Yaani unadiriki with open heart kumwita baba wa Taifa basi kama huyo ndiye baba mwite baba wa giza. Lakini kwa jinsi tumjuavyo Mwalimu alitupa ujasiri wa kujiona kama binadamu wenye haki sawa na binadanamu wengine wa rangi zte na ndio maana cake ya taifa kama elimu, afya na huduma nyingine za jamii zilikuwa ni kwa ajili ya wote.

Maskini mwenye uwezo kiakili aliweza kukwea mlima wa elimu mpaka chu kikuu. Leo subutu. Alikuwa ni msomi mzuri wa vitabu na majarida na kila mara hoja yake ilikuwa referenced and projects zake zilikuwa na benchmarks. Sasa tangu waje wengine taifa limekuwa fragile. Hakuna taasisi iliyosimama ya kupigiwa mifano.

Elimu imekuwa si kitu muhimu tena na ndio maana vijana wwetu hawasomi vitu that can inculcate and fine tune elements of nationalism, patriotism and revolution in mind. Tumebaki kusoma magazeti ya kasheshe na kusikiliza habari za vijiweni. Sasa unategemea nini? Ikitokea chama au kikundi cha watu chenye kuweza kahamsha moyo wa kimapinduzi watawala watakipa au watawapa majina yote mabaya- wa dini fulani, wa dhehebu fulani, wa kabila fulani, wa kasikazini, wana pesa chafu ya kutoka nje n.k Sisi ndio tujilaumu na tutambue ni wapi tulipojikwaa ili tuweze kusimama kama jamii kutetea maslahi yetu "you cannot get your rights on the silver platter"
 
Bigaraone

sio dhambi kusema sababu ya haya yote na always huwezi kuzika historia na pazuri patasifiwa lakini pia pabaya patasemwatu. Kufa sio kusahaulika.
 
Last edited by a moderator:
Naomba nimuunge mkono mmoja wa waandishi ndani ya JF aliyewahi kusema Tanzania tunahitaji mapinduzi tena yaandamane na kumwaga damu. Likitokea hilo ndo watu watafahamu kwamba hatuhitaji kuishi kwa unafiki na kujikomba. Viongozi wataachwa na njia yao na tutatafuta mali kwa nguvu zetu siyo kwa urafiki na wanasiasa.

Sasa hivi ilivyo, kila mtu anatafuta urafiki na wanasiasa ambao ndo wanajiita serikali. Watu wako tayari kuwasaliti wenzao ili waishi maisha ya anasa!

Polisi anajikomba, Profesa anajikomba,Usala wa taifa anajikomba, Mbunge wa upinzani anajikomba, spika anajikomba, mwanasheria mkuu hivyo hivyo, n.k, n.k.

Hayatakwisha na tunajengwa woga eti damu itamwagika. Nani ameendelea kwa amani na utulivu Dunia hii?????
 
Kurudi kazini sawa wamerudi that wa inevitable but at what cost? Kumbe by using Dr Ulimboka as a human shield risking his life was all for nothing? Lets hope this is not the end of it.
Bisimba and rest of wapambanaji hilo swali linahitaji kujibiwa. I agree with you totally it is as if nao wanamsubiri Dr aongee.
I asked where do we go from here as a Nation kama tukio kubwa hivi na mengine makubwa yanapita bila hata kuwatikisa utawala huu

Ain't it funny that I also happen to be among the very first people to say leave Dr. Ulimboka alone. Let him do what's best for himself even if it means accepting money.I said so last time. The last thing we all want is for him to take advice which he might later regret.

And for those who say Watanzania this Watanzania that are they foreigners? Living abroad doesn't make them foreigners. Are they going to be there if one says let's protest tomorrow?

Where do we go from here as far as I'm concerned, I'm starting a campaign on facebook to get people to see my point of why I think Mama Bisimba must say to us that if the government continue to keep mum she'll pull the plug and heads will roll. We can't tolerate abuse of power of this magnitude.Today it's Dr. Ulimboka who knows who is next? Rumor has it THERE'S AN INCREASE OF ILLICIT GUNS. What'll stop them from embarking on a serial killing?
 
Shida nyingine ni kwamba tumelelewa kwa nidhamu ya uwoga na waasisi wa taifa hili...inaitaji mda kubadilika....hata hapa tulipofika ni parefu, ila nakuhakikishia hicho kizazi kinachokuja...ni moto wa kuotea mbali...ndio maana ccm wanatakiwa wasome alama za nyakati. Tutafika kamanda sema ishu ni mda tuu. Only time will tell...
 
Mkuu unenayo ni kweli kabisa Dr. alishayasema tena anamaumivu makali. wewe fikiria ni maumivu makali kiasi gani lakin aliona bora nijikaze niwataje hawa endapo mungu atanichikua bas watanzania tayari watajua wafanye nini. sioni tena sababu ya kumsumbua Dr. wakati majibu tayar mnayo ila utekelezaji uko wapi?
 
DAH hii thread imeniuma mpaka machozi yakawa yananilenga nikijaribu ku-imagine maumivu aliyoyapata Dr.Ulimboka halafu sisi wananchi hatujamsaidia kwa sababu ya unafiki na ubinafsi, halafu sasa hivi tunataka tena awataje upya!!Sijui itatufanya tuchukue hatua gani zaidi ya hii ya kiuoga ya kuwa washabiki wa magazetini na vijiweni.

Nahisi kumshinikiza ataje upya ni sawa na kum-subject to the same pain and suffering again as if the first incidence wasn't enough!! Naweza kuifananisha na kumsulubisha mtu mara ya pili.

Mimi sina personality na ujasiri wa ku-mobilize watu tuandamane na kuishinikiza serikali lakini huwa natoa support yangu kikamilifu baada ya mtu mwingine kulianzisha.

Niiteni muoga tu maana kuna ukweli ndani yake.Lakini wale majasiri mko wapi? Wenye talent ya ku-mobilize watu for their rights mko wapi?

Naandika kwa uchungu na kujilaumu kwa nini mimi nashindwa kuchukua hatua zaidi ya kuandika hapa.

Nakuunga mkono, mkuu! Kama siyo maandamano ni blah blah blah tu
 
Dr.Ulimboka angekuwa nchi nyingine angenyongwa,amesababisha watu wengi kufa kwa madai mengine yakijinga,kama vile dr. wa mwaka wakwanza aliesoma kwa mkopo wa masikini waTZ eti mshahara wake na marupurupu yachanganywe alafu iwe 7500000,pesa hizi hata babazao hawana.
 
Ulimboka alisema na kutaja ndio lakini kumbuka wakati ule alikuwa na maumivu na hata ongea yake ilitia shaka kama kweli mentally yupo okey au la! aliporejea akiwa Airport aliahidi kuwa ataanika wazi kila kitu sasa hapo ndipo tunataka aseme akiwa na akili zake timamu ataje majina mazingira na kila kilichotokea na pia aombe utaratibu wa kisheria uanze dhidi ya watekaji wake sasa yeye kaja anajificha haongei what follows???
 

.......[/QUOTE]

Heshima sana kwako Baluhya kwa mawazo yako ya busara. Tumekuwa jamii ya watu wa ajabu sana na wa kuonewa huruma. Ila ukweli ni kwamba no society can manage to stay afloat for long in defiance of the weight of its own stupidity.

M-H
 
hta vyuon huwa wanafunz weng wanasubiria muhamasishaji wa mapambano ktk kudai hak yao wote!

So ishu hapa ni nani wa kumfunga paka kengele like Lumumba, Mandela, Che Guevera n the so forth? ili twendelee mbele?
 
Back
Top Bottom