Huu tunaomfanyia Dr Ulimboka ni unafiki, ujinga na upumbafu uliokithiri!

kipi ambacho hukijui mpaka sasa?.....
Edson,
Ambacho sikijui ni hiki: Dr Ulimboka aliratibu na kuongoza mgomo wa MaDaktari vizuri sana. Anashindwaje kuongoza mapambano dhidi ya dhulma aloofanyiwa yeye mwenyewe? Ujasiri ule kama KIONGOZI wa Jumuia ya MaDaktari umeishia wapi? Afadhali hata baba yake mdogo alipinga yale maelezo ya DCI Manumba!
 
Mkuu umenena vyema. Ni kweli sisi abongo wengi wetu ni wanafiki tukiongozwa na serikali yetu na vyombo vyake vya usalama. Inaingiaje akilini afunguliwe mashitaka mshitakiwa ambaye ni tofauti na wale walitajwa na DR Ulimboka tena kwa majina.

Je serikali imeshawahoji hao watu waliotuhumiwa au ndo wanaendelea na unafiki kama kawaida? Ukimsikiliza Kova na Sinema yake ndo utaishiwa nguvu kabisa. Jamani tunaipeleka wapi nchi hii?
 
Umenena vema,but you have to know that,in any struggle there must be the great group shared or touched with the common phenomena.wengi wameguswa wakaishia kusikitika tu,so kama taifa we lack the so called unity Und solidarity.
 
Nisijifanye mnafiki hapa! hata mimi mwenyewe nilikuwa namsubiria Dr. Ulimmboka aje aseme ukweli mwingine tofauti na ule aliokwisha usema.

Mkuu umenifungua ni kama pepo flani hivi limetukamata Watanzania wengi. Ee! mola tusaidie sisi kufunguliwa katika kifungo hiki cha upumbavu na unafki.
 
Umenena vema,but you have to know that,in any struggle there must be the great group shared or touched with the common phenomena.wengi wameguswa wakaishia kusikitika tu,so kama taifa we lack the so called unity Und solidarity.....

KIONGOZI wa mapambano haya ni Dr Ulimboka mwenyewe. Aonyeshe angalau nia ya kutaka kuyaendeleza mapambano haya. Ataungwa mkono sana tu. Mbona aliungwa mkono na MaDaktari wenzake wakati ule wa mgomo?
 
acha kulaumu watu...jilaumu wewe kwanza kwa kutotimiza wajibu wako kama mTanzania Mzalendo!
Narudia tena namlaumu mama Bisimba kwamba yeye ni mnafiki wa kwanza na yupo pale kwa self-enrichment tofauti na matakwa ya taasisi anayoiongoza. Kulikuwa na maana gani kwa yeye kutoa
tamko kali ambalo likatupa moyo kwamba safari hii Tanzania tumepata mpigania haki

Who else, apart from the perpetrators, knows this whole thing better than mama Bisimba? These people are using us, do you think if there's hush money as we hear mama Bisimba won't get her cut? She is one of the key witnesses, remember?

What about you? what have you done in your capacity as a citizen of this country before you start ranting?
what do you want me to do, huh? Protest? Will you be there if I say there's a protest tomorrow cuz to me you sound like a coward
 
...tumekuwa wabinafsi sana...angekufa baada ya kusimulia yote hayo bado tungesema amekufa bila kutueleza chochote wakati yote tumeandikiwa na kusikia pia.Labda tunasubiri achukue bunduki na kuwawinda mtaani watesaji ili tuseme amechanganyikiwa...
Tunahitaji ukombozi wa fikra kwanza, hayo mengine yafuate.
 
Mimi ndio maana toka sakata zima la madaktari na kipigo cha Dr Ulimboka niliamua kukaa kimya nakuwa mtazamaji. Spin doctors wamefanya ya kutosha kuwafanya watu wasiwe na enough sense ya kutotia maanani maneno ya Dr mwenyewe? Amakweli imekula kwetu. Where do we go from here?
 
Nisijifanye mnafiki hapa! hata mimi mwenyewe nilikuwa namsubiria Dr. Ulimmboka aje aseme ukweli mwingine tofauti na ule aliokwisha usema.Mkuu umenifungua ni kama pepo flani hivi limetukamata Watanzania wengi. Ee mola tusaidie sisi kufunguliwa katika kifungo hiki cha upumbavu na unafki.....

Hapa ndipo najisemeaga "where is MwanaHalisi when you need it? At least lilikuwa linajaribu kupigana na mapepo yetu.
 
We acha tu sisi wa TZ ni wabinafsi mno shida ya mwenzio unaiona si yako na kwa wakubwa zaidi ni kujipendekeza ili waonekane...!
Nachukia sana tabia hii sijui tumeirithi wapi kwa kweli!......

DAH hii thread imeniuma mpaka machozi yakawa yananilenga nikijaribu ku-imagine maumivu aliyoyapata Dr.Ulimboka halafu sisi wananchi hatujamsaidia kwa sababu ya unafiki na ubinafsi, halafu sasa hivi tunataka tena awataje upya!!Sijui itatufanya tuchukue hatua gani zaidi ya hii ya kiuoga ya kuwa washabiki wa magazetini na vijiweni.

Nahisi kumshinikiza ataje upya ni sawa na kum-subject to the same pain and suffering again as if the first incidence wasn't enough!! Naweza kuifananisha na kumsulubisha mtu mara ya pili.

Mimi sina personality na ujasiri wa ku-mobilize watu tuandamane na kuishinikiza serikali lakini huwa natoa support yangu kikamilifu baada ya mtu mwingine kulianzisha.

Niiteni muoga tu maana kuna ukweli ndani yake.Lakini wale majasiri mko wapi? Wenye talent ya ku-mobilize watu for their rights mko wapi?

Naandika kwa uchungu na kujilaumu kwa nini mimi nashindwa kuchukua hatua zaidi ya kuandika hapa.
 
Tulipamba moto hivihivi wakati ule wa Mwakyembe hadi alipotunyamazisha yeye mwenyewe. Sasa hivi anahangaika na treni zetu kwa kuzidandia hapa na pale. Hii NCHI na WATU wake ngumu.
 
Hapa ndipo unajua mtanzania ni nani ,kila mmoja analaumu watanzania na kusema naunga mkono hoja
100%,bunge limetuharibu!sasa sijui anelaumiwa hajachukua hatua ni nani.Tuache unafiki na tunyamaze.Na wewe Ulimboka
nyamaza,aliyekuwa na uwezo wa kuthubutu ni Kubenea peke yake nae kanyamazishwa kwa nguvu,so
tufanye filamu ya Ulimboka imesha na sterling hajafa.
 
Mimi ndio maana toka sakata zima la madaktari na kipigo cha Dr Ulimboka niliamua kukaa kimya nakuwa mtazamaji. Spin doctors wamefanya ya kutosha kuwafanya watu wasiwe na enough sense ya kutotia maanani maneno ya Dr mwenyewe? Amakweli imekula kwetu. Where do we go from here?.......

Sijui ni wewe au kuna dada mwingine mwanzoni mwa huu mkasa nilikuambia madaktari watarudi kazini they've mouths to feed.

Madaktari walikuwa wanamtumia Dr. Ulimboka kama "human shield" nilisema serikali ililazimika kumfanyia unyama Dr. Ulimboka after realising that the doctors will emerge as victors for as long as Dr. Ulimboka is standing in the way. Terms and conditions of a civil servant didn't apply to him.

Coming to your question where do we go from here I think though you might not necessarily agree with me, Mama Bisimba got herself involved in this, why can't she finish what she started? What is her job anyway?
 
Yapo makabila nchi hii ambayo watu wake ni jasiri sana hususan yale yanayowafanyia tohara wanaume na wanawake pia. Makabila mengine haya ni taabu kidogo. Mtaniwia radhi kama kauli hii itawaudhi na kuwakwaza baadhi yenu.
 
Hata wewe unaingia kwenye kundi hili la maiti,kwa maana ya kwamba umeshindwa kufanya lolote(sifa ya maiti) kwa ukweli huu wala hujachukua hatua kwa kile unachokijua tayari katika hili.
 
Mwambieni Dr Ulimboka afunguke upya, kwa akili timamu, bila woga sasa. Alisema siku ile anapokelewa pale Airport kwamba yuko tayari kwa lolote. Anawafahamu waliomtesa. Aende mahakamani. Aende amtoe hata yule jamaa aliyekamatwa kule kwa Gwajima kwamba sie. Hatukulimaliza lile la Harison Mwakyembe, la Mwandosya na hata hili la Ulimboka hatutalimaliza sisi ambao hatukuteswa.

akafanye nini mahakami. Alishawataja, akane nini kwani alimtaja Joshua Mlundi katika maelezo yake?- Ukweli hausiki, Mwache apumzike. Watanzania ndio tuchukue hatua kwa nguvu mmoja kushinikiza haki itendeke
 
Back
Top Bottom