Nani hasiyejua kwamba Watanzania Mnaongoza Kwa Kupiga Mdomo..utendaji Zero...Ndio Hulka iyoo Kwisha Habarii...
Vitu vingapi vikubwa zaidi ya Ulimboka vimepita pasi kujua hatima yake ? Tume nGapi zimepita Pasi Majibu...Badilikeni
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Dr Ulimboka amewaangusha MaDaktari wenzake, wanaHarakati na WATANZANIA kwa jumla kwa kuamua kukaa kimya. Hamasa yoote ile tangu siku anateswa, anapelekwa kwenye matibabu, anarudi, imeishia kwenye kauli tulioizoea: YOTE NAMWACHIA MUNGU!
Mimi nawalaumu akina mama Bisimba. Ofisi yake LHRC ilitoa tamko kali ambalo nikiwa karibu na computer nitaweka hapa. Tamko linaloitaka serikali ishughulikie suala hilo na hata walipendekeza utaratibu ambao ufuatwe
Mama Bisimba yupo wapi? Pia napenda kusema kwamba mama Bisimba na serikali wote wajue kwamba hili suala la Dr. Ulimboka siyo suala kati ya hizo mbili tu na sisi wananchi ni wadau hapo ukizingatia kwamba serikali ambayo inaendeshwa kwa kodi zetu ndo inatumiwa kufanya unyama huu.
Mkuu nakubaliana na wewe kwa 100%