Hapa mjini kumezuka kwa sasa sijui niite bahati nasibu au la katika sijui niita makampuni kama FOREVER la marekani NA POWER CLUB kutoka Italy.
Kwa kifupi mtu unaweka kiasi flani cha pesa mfano kwa forever ni 450,000/= baabdae unapanda vyeo na kila ukipanda vyeo kw akuingiza watu chini yako fedha inaongezeka. Hii Power club yenyewe unatoa 295,000/= al;afu wanakupa kadi 3 na wewe unazitafutia wateja watatu na wao wanatoa kiasi hicho cha pesa lakini hapo aliyeko juu ndio mnamuwekea pesa the way watu wanavyozidi kuja nyuma yako ndio unapata pesa(?).
Sasa nauliza hivi huu sio utapeli fulani?? maana wengine tunaogopa tulishalizewa na haya mavitu ya wazungu ile mbaya.
Mwenye ufahamu na hizi mambo naomba anieleweshe tafadhali kama inawezekana na mimi nijuinge niweze kupata mamilioni
Kwa kifupi mtu unaweka kiasi flani cha pesa mfano kwa forever ni 450,000/= baabdae unapanda vyeo na kila ukipanda vyeo kw akuingiza watu chini yako fedha inaongezeka. Hii Power club yenyewe unatoa 295,000/= al;afu wanakupa kadi 3 na wewe unazitafutia wateja watatu na wao wanatoa kiasi hicho cha pesa lakini hapo aliyeko juu ndio mnamuwekea pesa the way watu wanavyozidi kuja nyuma yako ndio unapata pesa(?).
Sasa nauliza hivi huu sio utapeli fulani?? maana wengine tunaogopa tulishalizewa na haya mavitu ya wazungu ile mbaya.
Mwenye ufahamu na hizi mambo naomba anieleweshe tafadhali kama inawezekana na mimi nijuinge niweze kupata mamilioni