engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Ndugu wana Jf
Mimi nashangaa sana tena sana kwa baadhi ya mashirika ya simu hapa Tanzania kutumia hii nafasi ya kuupigia kura mlima kilimanjaro kwa kuwalipiza wananchi kiasi cha shilingi 500 kwa sms
huu ni wizi tena wizi ambao upo wazi kabisa,lengo letu ni kutaka mlima wetu kuchaguliwa kuwa ni mmoja wa maajabu saba ya asili duniani,sasa baada ya kuhamasisha ili watu wengi wapige kura sisi tunacharge kila kura moja kwa tsh 500/=hivi ni kweli tunataka mlima huu upigiwe kura ama tunataka pesa toka kwa wapiga kura?
mbona nchi za wenzetu hawafanyi kama tufanyavyo sisi?
Jamani kila kitu bongo ni dili
Mimi nashangaa sana tena sana kwa baadhi ya mashirika ya simu hapa Tanzania kutumia hii nafasi ya kuupigia kura mlima kilimanjaro kwa kuwalipiza wananchi kiasi cha shilingi 500 kwa sms
huu ni wizi tena wizi ambao upo wazi kabisa,lengo letu ni kutaka mlima wetu kuchaguliwa kuwa ni mmoja wa maajabu saba ya asili duniani,sasa baada ya kuhamasisha ili watu wengi wapige kura sisi tunacharge kila kura moja kwa tsh 500/=hivi ni kweli tunataka mlima huu upigiwe kura ama tunataka pesa toka kwa wapiga kura?
mbona nchi za wenzetu hawafanyi kama tufanyavyo sisi?
Jamani kila kitu bongo ni dili