Huu ni wakati wa kuyatafuta mabadiliko nje ya CCM

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Sep 4, 2019
1,379
3,882
Watu unaweza kuwadanganya leo lakini kamwe hauwezi kuwadanganya siku zote

CCM wasidhani kama wataendelea kutumia ulaghai wa zamani wa kutupaka pipi mdomoni huku utamu wa pipi nzima ukiliwa na wachache hatutakubali hata siku moja

CCM wakitaka tuendelee kuwaunga mkono tunawataka wafuate mambo yafuatayo bila kupepesa macho

Kwanza watekeleze kwa kishindo ilani ya CCM ya kurasa 303 ambayo ina agenda zote za mifumo ya kustawisha jamii yetu

Hatutaki kuambiwa kwamba kuna haki wakati hatuoni nia na dhamira ya Serikali katika kutuletea uimara wa huduma za misingi kama upatikanaji wa maji safi na salama, Bima ya afya kwa woote, huduma bora za Afya,

kwa misingi hiyo wanasiasa waache kutupaka mafuta kwa mgongo wa Chupa kwa kuhubiri haki ya uongo huku haki zetu za lazima na za msingi zikififishwa na sera mbaya za viongozi zinachochea Rushwa, ufisadi, ubadhirifu wa mali za umma, uzembe kazini na madawa ya kulevya
 
Hama hata leo usiku chukua Godoro lako hamia Chato
icon_lol.gif
 
watu unaweza kuwadanganya leo lkn kamwe hauwezi kuwadanganya siku zote

CCM wasidhani kama wataendelea kutumia ulaghai wa zamani wa kutupaka pipi mdomoni huku utamu wa pipi nzima ukiliwa na wachache hatutakubali hata siku moja

CCM wakitaka tuendelee kuwaunga mkono tunawataka wafuate mambo yafuatayo bila kupepesa macho

kwanza watekeleze kwa kishindo ilani ya CCM ya kurasa 303 ambayo ina agenda zote za mifumo ya kustawisha jamii yetu

Hatutaki kuambiwa kwamba kuna haki wakati hatuoni nia na dhamira ya Serikali katika kutuletea uimara wa huduma za misingi kama upatikanaji wa maji safi na salama, Bima ya afya kwa woote, huduma bora za Afya,

kwa misingi hiyo wanasiasa waache kutupaka mafuta kwa mgongo wa Chupa kwa kuhubiri haki ya uongo huku haki zetu za lazima na za msingi zikififishwa na sera mbaya za viongozi zinachochea Rushwa, ufisadi, ubadhirifu wa mali za umma, uzembe kazini na madawa ya kulevya
Hama na godoro lako kalale na mumeo kwenye kibanda cha mabati.
 
watu unaweza kuwadanganya leo lkn kamwe hauwezi kuwadanganya siku zote

CCM wasidhani kama wataendelea kutumia ulaghai wa zamani wa kutupaka pipi mdomoni huku utamu wa pipi nzima ukiliwa na wachache hatutakubali hata siku moja

CCM wakitaka tuendelee kuwaunga mkono tunawataka wafuate mambo yafuatayo bila kupepesa macho

kwanza watekeleze kwa kishindo ilani ya CCM ya kurasa 303 ambayo ina agenda zote za mifumo ya kustawisha jamii yetu

Hatutaki kuambiwa kwamba kuna haki wakati hatuoni nia na dhamira ya Serikali katika kutuletea uimara wa huduma za misingi kama upatikanaji wa maji safi na salama, Bima ya afya kwa woote, huduma bora za Afya,

kwa misingi hiyo wanasiasa waache kutupaka mafuta kwa mgongo wa Chupa kwa kuhubiri haki ya uongo huku haki zetu za lazima na za msingi zikififishwa na sera mbaya za viongozi zinachochea Rushwa, ufisadi, ubadhirifu wa mali za umma, uzembe kazini na madawa ya kulevya
Kafie mbali huko. Nyie wafuasi wa DIKTETA wa Chato. CCM imerudi inako stahili
 
Kumbuka ya kwamba leo ni tarehe 15-05-2021 kwa hiyo bado una safari ndefu ya kusubiri mpaka ifike mwaka 2025 na kisha uanze tena safari nyingine ya kusubiri tena mpaka ifike mwaka 2030.

Nikupe tu ushauri, tafuta vitu vya ziada vya kufanya ili vikufanye uwe "busy" zaidi ya kuishi ukiwa na msongo wa mawazo. Kifo ni "sure event" na mwendazake ndiyo huyo kaishia zake na kamwe hawezi kurudi. Jifunze kuishi kwa kuchukuliana na jinsi hali ilivyo. La sivyo kila siku utaishia kulalamika na kunung'unika hapa jukwaani pasipo kupata msaada wowote ule.

Pole sana ndugu yangu.
 
Watu unaweza kuwadanganya leo lakini kamwe hauwezi kuwadanganya siku zote

CCM wasidhani kama wataendelea kutumia ulaghai wa zamani wa kutupaka pipi mdomoni huku utamu wa pipi nzima ukiliwa na wachache hatutakubali hata siku moja

CCM wakitaka tuendelee kuwaunga mkono tunawataka wafuate mambo yafuatayo bila kupepesa macho

Kwanza watekeleze kwa kishindo ilani ya CCM ya kurasa 303 ambayo ina agenda zote za mifumo ya kustawisha jamii yetu

Hatutaki kuambiwa kwamba kuna haki wakati hatuoni nia na dhamira ya Serikali katika kutuletea uimara wa huduma za misingi kama upatikanaji wa maji safi na salama, Bima ya afya kwa woote, huduma bora za Afya,

kwa misingi hiyo wanasiasa waache kutupaka mafuta kwa mgongo wa Chupa kwa kuhubiri haki ya uongo huku haki zetu za lazima na za msingi zikififishwa na sera mbaya za viongozi zinachochea Rushwa, ufisadi, ubadhirifu wa mali za umma, uzembe kazini na madawa ya kulevya
Ungeyasema aya kipindi cha mungu wenu dikteta magufuli ,tungekuona wa maana,,

Uho muw.asho wa masaburi yako unakutia uchizi dogo
 
Mbona mapema sana kafa jana tu watu mumeshaanza kulialia na CCM wakati wenzenu tulipokuwa tunachalazwa viboko mulikuwa mnaimba iyena iyena iyena CCM number one kwani kitu gani kimewapata isije ikawa mumeanza kutumika na mabeberu.
 
Watu unaweza kuwadanganya leo lakini kamwe hauwezi kuwadanganya siku zote

CCM wasidhani kama wataendelea kutumia ulaghai wa zamani wa kutupaka pipi mdomoni huku utamu wa pipi nzima ukiliwa na wachache hatutakubali hata siku moja

CCM wakitaka tuendelee kuwaunga mkono tunawataka wafuate mambo yafuatayo bila kupepesa macho

Kwanza watekeleze kwa kishindo ilani ya CCM ya kurasa 303 ambayo ina agenda zote za mifumo ya kustawisha jamii yetu

Hatutaki kuambiwa kwamba kuna haki wakati hatuoni nia na dhamira ya Serikali katika kutuletea uimara wa huduma za misingi kama upatikanaji wa maji safi na salama, Bima ya afya kwa woote, huduma bora za Afya,

kwa misingi hiyo wanasiasa waache kutupaka mafuta kwa mgongo wa Chupa kwa kuhubiri haki ya uongo huku haki zetu za lazima na za msingi zikififishwa na sera mbaya za viongozi zinachochea Rushwa, ufisadi, ubadhirifu wa mali za umma, uzembe kazini na madawa ya kulevya
Dogo utakufa kwa stress za siasa za Bongo. Take it easy
 
Kuna kazi ya kujengea kabuli hapo chato! Maana limezungushiwa mabati tu halifai. Nenda kajenge kaburi la mpuuzi mwenzako hapo chato na ukimaliza rudi kwenu Burundi intarahamwe mkubwa wewe!!
Watu unaweza kuwadanganya leo lakini kamwe hauwezi kuwadanganya siku zote

CCM wasidhani kama wataendelea kutumia ulaghai wa zamani wa kutupaka pipi mdomoni huku utamu wa pipi nzima ukiliwa na wachache hatutakubali hata siku moja

CCM wakitaka tuendelee kuwaunga mkono tunawataka wafuate mambo yafuatayo bila kupepesa macho

Kwanza watekeleze kwa kishindo ilani ya CCM ya kurasa 303 ambayo ina agenda zote za mifumo ya kustawisha jamii yetu

Hatutaki kuambiwa kwamba kuna haki wakati hatuoni nia na dhamira ya Serikali katika kutuletea uimara wa huduma za misingi kama upatikanaji wa maji safi na salama, Bima ya afya kwa woote, huduma bora za Afya,

kwa misingi hiyo wanasiasa waache kutupaka mafuta kwa mgongo wa Chupa kwa kuhubiri haki ya uongo huku haki zetu za lazima na za msingi zikififishwa na sera mbaya za viongozi zinachochea Rushwa, ufisadi, ubadhirifu wa mali za umma, uzembe kazini na madawa ya kulevya
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom