Huu ni uzi wa kujifariji kwa waliopata GPA lower second & below

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,185
22,203
Natumaini mko poa.

Leo nimeona nifungue huu uzi kwa nia ya kujifariji sisi tuliopata ufaulu wa daraja la chini kipindi tuko Chuo. Namaanisha GPA za 3.4 kushuka chini. Pia tutapiga stori mbili tatu kukumbushana nini kilijiri hadi tukapata GPA dhaifu wakati wengi tulipita form six salama.

Mimi binafsi GPA yangu ni 3.2 na sababu kubwa ni kufanya biashara huku nasoma. Chuo nilikuwa adimu sana. Sup nilipata za kutosha ingawa kwa kudra za mwenyezi Mungu nilichomoa. Wengi wanajuta na endapo muda ungerudishwa nyuma wangesoma kwa bidii ila mimi niko tofauti... Mimi ningeendelea na biashara kama kawaida na ari zaidi ila ningejitahidi kupangilia muda vizuri ili kukwepa kufeli.

Karibuni.
 
Natumaini mko poa.

Leo nimeona nifungue huu uzi kwa nia ya kujifariji sisi tuliopata ufaulu wa daraja la chini kipindi tuko Chuo. Namaanisha GPA za 3.4 kushuka chini. Pia tutapiga stori mbili tatu kukumbushana nini kilijiri hadi tukapata GPA dhaifu wakati wengi tulipita form six salama.

Mimi binafsi GPA yangu ni 3.2 na sababu kubwa ni kufanya biashara huku nasoma. Chuo nilikuwa adimu sana. Sup nilipata za kutosha ingawa kwa kudra za mwenyezi Mungu nilichomoa. Wengi wanajuta na endapo muda ungerudishwa nyuma wangesoma kwa bidii ila mimi niko tofauti... Mimi ningeendelea na biashara kama kawaida na ari zaidi ila ningejitahidi kupangilia muda vizuri ili kukwepa kufeli.

Karibuni.
Sisi walimu wetu walikuwa wakituambia darasani hatuwezi kufaulu kama wao, na walikuwa na msimamo hadi kutunga mitihani Out of syllabus. Wa kwanza Darasani alikuwa na 3.8,

Tupo wengi humu na lower second 🕺
 
Form 4 nlipiga division 3 ya kuchechemea

form 6 nlipiga division 2 ya kuchechemea

Chuoni nikakaza nikapiga upper second.

Kazini kwenye ofisi yetu kuna gpa ya kwanza first class, ya pili second class ambayo ninayo, ipo second lower na ipo gentleman ya mwisho (pass).

Mishahara wote tunapokea sawa, vyeo tunalingana, n.k

Mkuu wa kitengo ana second lower,

Wapo watu katika shirika hili wana second upper na moja ana first class awa wote wanachukua maelekezo kutoka kwetu na wanaripoti kwetu.

wapo pia viongozi wetu ambao tunarpoti kwao wana second lower na pass (hata kikwete anayo hii)

GPA baada ya kupata kazi tupa kule
 
Bongo siku hizi unaambiwa GPA siyo kipimo cha akili ya mtu! Anyway tatizo linaanzia kwenye mfumo wetu wa elimu ambao unamlazimisha mwanafunzi kukariri zaidi kuliko kuelewa!

Pia tukumbuke humu vyuoni kuna wale wanaofaulu kwa migi, kuna wale wanaohonga ili wapewe GPA kubwa, kuna wale wadada wenye STDs (Sexually Transmitted Degrees), na kuna wale wanaofelishwa kwa kufanyiwa figisu na lecturers wao kwa sababu zao binafsi, na mambo mengine kama hayo! Sasa kama na hizo nazo ni akili basi sawa tusema wenye GPA kubwa WOTE wana akili na wenye GPA ndogo WOTE hawana akili!
 
GPA 2.6 kila semister napiga supp 3 ,mpaka namaliza nimekula supp 18 (sikuwa na demu wala sipigi mitungi)
Nakiri sikuwa na wezo mkubwa wa kakariri masomo kama wengine ,ila nilikuwa upeo mpana wa kufikiri na network kubwa mjini,Muda mwingi nilitumia kusurf internet cafe kujifunza vitu vingine vya maisha sio vya darasani kwenye fani za insurance , tax,consultancy ,sales,finacial report analysis ,performance management ,poitics, history ,ict vilikuwa havinipigi chenga nikikaa na wazee wanashangaa nawauliza vitu vikubwa tu. Nilihaidiwa kazi na watu wengi sana,ukimaliza njoo tukupe kazi hofu ilikuwa GPA yangu tu
Mungu mkubwa ajira ilikuja fasta ndani ya miezi miwili tu

Jamani GPA ni nzuri sana hasa ukiwa unapendelea kuwa mwanataaluma, nilikosa kazi kwenye Big four audit firm sababu ya GPA tu ,sababu ya partner mmoja mswahili alileta mambo ya GPA. Ila partner wakidosi na wazungu walinipitisha nipewe kazi nikiwa namalizia last semister graduate program nililia sana

ila wadogo zangu someni muwe competent utajirika au kujiajiri, muwe na uelewa mpana wa vitu vingi kwenye maisha
 
GPA 2.6 kila semister napiga supp 3 ,mpaka namaliza nimekula supp 18 (sikuwa na demu wala sipigi mitungi)
Nakiri sikuwa na wezo mkubwa wa kakariri masomo kama wengine ,ila nilikuwa upeo mpana wa kufikiri na network kubwa mjini,Muda mwingi nilitumia kusurf internet cafe kujifunza vitu vingine vya maisha sio vya darasani kwenye fani za insurance , tax,consultancy ,sales,finacial report analysis ,performance management ,poitics, history ,ict vilikuwa havinipigi chenga nikikaa na wazee wanashangaa nawauliza vitu vikubwa tu. Nilihaidiwa kazi na watu wengi sana,ukimaliza njoo tukupe kazi hofu ilikuwa GPA yangu tu
Mungu mkubwa ajira ilikuja fasta ndani ya miezi miwili tu

Jamani GPA ni nzuri sana hasa ukiwa unapendelea kuwa mwanataaluma, nilikosa kazi kwenye Big four audit firm sababu ya GPA tu ,sababu ya partner mmoja mswahili alileta mambo ya GPA. Ila partner wakidosi na wazungu walinipitisha nipewe kazi nikiwa namalizia last semister graduate program nililia sana

ila wadogo zangu someni muwe competent utajirika au kujiajiri, muwe na uelewa mpana wa vitu vingi kwenye maisha
Umesomeka mkuu Obama wa Bongo
 
mimi nilipata 3.4 sikuwahi kusapu wala kukeri kozi,,muda mwingi niliutumia kuijua Dar,,nikitembelea maeneo kama kariakoo,,posta feri,,mwenge nk.mpaka ilifika hatua nilikuwa nikifanya kazi ya kuwatumia watu wa mikoani mizigo,,
Hahahaha,umenichekesha sana.Eti muda mwingi uliutumia kuijua dsm.
 
mimi nilipata 3.4 sikuwahi kusapu wala kukeri kozi,,muda mwingi niliutumia kuijua Dar,,nikitembelea maeneo kama kariakoo,,posta feri,,mwenge nk.mpaka ilifika hatua nilikuwa nikifanya kazi ya kuwatumia watu wa mikoani mizigo,,
mkuu na mimi sijui nafuata nyendo zako maana muda mwingi niko nazurura tu hapa Dodoma town, kuingia class kwa nadra sana niko na utajiri wa SUP kila semester.
 
Mimi nilipata GPA ya 3.4 sina sababu ya msingi ya kutokupata zaidi ya 3.5 sababu kuanzia O level na advance huwa napata div 2 ya kwanza yaani nakosa point moja tu kupata division 1.

Tatizo kubwa nililokuwa nalo shuleni kuanzia O level ni kuridhika na kujipa ukomo kwamba siwezi poteza muda kusoma masaa 2 na nusu, ni kugusa then kucheza game...sijapata sup mpka namaliza chuo.
Mwisho GPA kubwa nafikiri kama unatamani kuwa mwalimu wa vyuoni kitu ambacho hata ningekuwa na GPA kubwa bado nisingeweza.
 
Natumaini mko poa.

Leo nimeona nifungue huu uzi kwa nia ya kujifariji sisi tuliopata ufaulu wa daraja la chini kipindi tuko Chuo. Namaanisha GPA za 3.4 kushuka chini. Pia tutapiga stori mbili tatu kukumbushana nini kilijiri hadi tukapata GPA dhaifu wakati wengi tulipita form six salama.

Mimi binafsi GPA yangu ni 3.2 na sababu kubwa ni kufanya biashara huku nasoma. Chuo nilikuwa adimu sana. Sup nilipata za kutosha ingawa kwa kudra za mwenyezi Mungu nilichomoa. Wengi wanajuta na endapo muda ungerudishwa nyuma wangesoma kwa bidii ila mimi niko tofauti... Mimi ningeendelea na biashara kama kawaida na ari zaidi ila ningejitahidi kupangilia muda vizuri ili kukwepa kufeli.

Karibuni.
Huna akili, nani alikuambia 3.0 ni dhaifu? Nina mashaka mengi na wewe hasa jinsia yako.
 
Mimi nilipata GPA ya 3.4 sina sababu ya msingi ya kutokupata zaidi ya 3.5 sababu kuanzia O level na advance huwa napata div 2 ya kwanza yaani nakosa point moja tu kupata division 1.

Tatizo kubwa nililokuwa nalo shuleni kuanzia O level ni kuridhika na kujipa ukomo kwamba siwezi poteza muda kusoma masaa 2 na nusu, ni kugusa then kucheza game...sijapata sup mpka namaliza chuo.
Mwisho GPA kubwa nafikiri kama unatamani kuwa mwalimu wa vyuoni kitu ambacho hata ningekuwa na GPA kubwa bado nisingeweza.
Kwa kozi ipi?
 
Back
Top Bottom