Msakapanofu
Member
- Dec 2, 2011
- 67
- 22
Watanzania wenzangu,
Nimeishuhudia hii katika vyombo vya habari viongozi wakikabidhi bendera ya Taifa kwa vijana wa 'The Tanzanite', wanaotegemewa kusafiri leo kwenda kwa hayati mzee Madiba kwa mchezo wa marudiano.
Kilichonisikitisha ni kuoneshwa bendera ya taifa iliyogeuzwa juu chini. inasikitisha sana.
Nimeishuhudia hii katika vyombo vya habari viongozi wakikabidhi bendera ya Taifa kwa vijana wa 'The Tanzanite', wanaotegemewa kusafiri leo kwenda kwa hayati mzee Madiba kwa mchezo wa marudiano.
Kilichonisikitisha ni kuoneshwa bendera ya taifa iliyogeuzwa juu chini. inasikitisha sana.