PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Wakati mjumbe mmoja wa bunge la katiba akitia kibindoni shilingi laki tatu ( 300,000) kwa siku,namaanisha (kwasiku moja) tena anachagua mwenyewe aupokeaje. Kwa mezi,siku au........
Huwezi amini mwalimu ameendelea kusotea mshahara wa shilingi laki moja na elfu themanini (180,000)kwa mwezi,tena anaupata kwa mafungu,na anapangiwa lini apate,wengine wanamiezi mitatu hawajaona mshahara wao
Akiuliza kwanini anaambiwa serikali haina fedha za kutosha kuwalipa.
Huu ni unyanyasaji na uuwaji wa waziwazi.
Huwezi amini mwalimu ameendelea kusotea mshahara wa shilingi laki moja na elfu themanini (180,000)kwa mwezi,tena anaupata kwa mafungu,na anapangiwa lini apate,wengine wanamiezi mitatu hawajaona mshahara wao
Akiuliza kwanini anaambiwa serikali haina fedha za kutosha kuwalipa.
Huu ni unyanyasaji na uuwaji wa waziwazi.