Huu ni utoto au ugonjwa

Xiang Hao

Senior Member
Nov 19, 2016
126
97
Habari wanajukwaa mimi ni kijana nimezaliwa miaka 21 iliyopita lakini katika umri wangu wa kujua kuchunguliana sijawahi kupenda, nimeshapitia kwenye mahusiano zaidi ya wasichana watano lakini huwa sidumu nao yaani kimshatongoza haijalishi nitatumia muda gani kumpata lakini miezi 2 ni mingi mno kuendelea nae nakuwa nimemchoka haijalishi kuwa tumeshachunguliana au la. Lakini mimi nakuwa sivutiwi naye kabisa

naomba wenye ujuvi na hili wanijuve kama ndio bado utoto au naumwa

Tanbihi
kama mada haijakupendeza sio lazima kuweka maoni yako, busara na hekma ni jambo la msingi kwa kila mmoja wetu karibuni
 
Habari wanajukwaa mimi ni kijana nimezaliwa miaka 21 iliyopita lakini katika umri wangu wa kujua kuchunguliana sijawahi kupenda, nimeshapitia kwenye mahusiano zaidi ya wasichana watano lakini huwa sidumu nao yaani kimshatongoza haijalishi nitatumia muda gani kumpata lakini miezi 2 ni mingi mno kuendelea nae nakuwa nimemchoka haijalishi kuwa tumeshachunguliana au la. Lakini mimi nakuwa sivutiwi naye kabisa

naomba wenye ujuvi na hili wanijuve kama ndio bado utoto au naumwa

Tanbihi
kama mada haijakupendeza sio lazima kuweka maoni yako, busara na hekma ni jambo la msingi kwa kila mmoja wetu karibuni
Ni utoto
 
Relationships are not for everyone or it could be that you just haven't met the one for you yet.

But you're still young so you got plenty of time to play the field and figure out what and who you want.

No rush.
Naomba nipate English course kwako mkuu I salute u
 
Utoto mixer uplayboy

Ama ni kama ivyo ulivyoandika hujawahi kupenda inaweza kuwa sababu pia ya kutotulia

Ukimpata unayempenda hiyo hali inaweza kubadilika
 
Relationships are not for everyone or it could be that you just haven't met the one for you yet.

But you're still young so you got plenty of time to play the field and figure out what and who you want.

No rush.
Word
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom