MPYA HIII GB60 KWA MIEZ 6 KILA MWEZ GB10 KWA10000 KAMA UKO INTERESTED KARIB PM
VODACOM KAZ NI KWAKO
nimefika mama mzma wwKaja mwingine huyu
every month valid 4 6 monthMPYA HIII GB60 KWA MIEZ 6 KILA MWEZ GB10 KWA10000 KAMA UKO INTERESTED KARIB PM
VODACOM KAZ NI KWAKO
Foji na wwHizo bando anafoji kutoka kwenye cm za vofafone zile ambazo ukinunua unapata bando apo msala unakuja kwa yule atakaekuja kununua hio cm
Nipe imei ya cm mpya ambayo hujauza bando lakeFoji na ww
😂😂😂 Hujakoma tuuNitumie namba yake
Nimependa sana hii Mstaarabu akikosea huwa haoni shida kuomba msamaha 👍👍Kama nimekukwaza naomba unisamehe!
Mnnh!0753 069 553 anaunga kwa laini za voda tu, mi nilibahatisha tu kiongozi sasa usijepigwa ukaona kama nimeshirikiana nae
Hahahaaaa!, kaazi kwelikweli.Mkuu kawaida wala usijali
Mkuu mbona waonekana mwepesi kushawishika?, hapahapa umelalamika kutapeliwa tena hapahapa unaomba namba nyengine! au umezoea kuumia mkuu?Mkuu kawaida wala usijali
Tatizo kubwa sana dah!Utatapeliwa wewe unajuaje huyo anaekupa hiyo namba sio mwenyewe?
Bundle za voda zipo...sema wajanja wanapita humo humo!Ningekuwa natumia voda ningejaribu kutapeliwa
duu ulinusurikaPole sana mkuu,huyu member alinikosaga kidogo tu nakumbuka miaka ya nyuma alitaka kuniuzia laptop sasa kwakuwa mimi niko mkoani na yeye yupo dar ilibidi nimtume jamaa yangu aende akaichek mashine husika,yule jamaa yangu alivyokutana na huyo member alinijibu tu kuwa "kaka sina imani na muuzaji pamoja na mashine yenyewe kama utaamua ku-risk sawa".
Mkuu nina tecno s1 vp inafaa kuungia hilo bando kama ndio njoo pm. Tuyajenge.every month valid 4 6 monthView attachment 920496