Huu ni utapeli mpya kutokana na vifurushi vya simu kupanda

*Vodacom na halotel pata GB 900* *dakika 9000 MITANDAO yote na SMS bila kikomo *kwa miez 12 = 30000TSH*

*Tigo na airtel* *dakika* *9500mitandao yote GB* *800 na SMS bila kikomo* *kwa miez 12 =30000TSH*

*Huduma nyingine* *unaweza kuwezeshwa* *kuwa wakala wa*
*M_PESA*
*Tigo pesa*
*Airtl money* gharama yake ni **110000* hii utapata commission unayostahili hakuna ujanja ujanja .


*Pia unaweza* *ukawezeshwa kuwa* *wakala wa ** kuunganisha vifurushi na utaelekezwa jinsi ya kuunganisha ndani ya dakika 20
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom