Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Naogopa kumsikiliza mtu anayejiita "killer"
Una akili ndogo sana nahisi kila ukilla unamuota kiba na mondndo maana mnaambiwa hiphop ni ngumu kuielewa hamsikii, kwa taarifa yako hilo ni fumbo kwa diamond(simba) na kiba (yanga), HIPHOP yahitaji umakini kuielewa.
akili zake km punje ya haradaniUna akili ndogo sana nahisi kila ukilla unamuota kiba na mond
kisimanYANGA MABINGWA WAPI....
kiba kujulikana kuwa ye ni yanga sio tatizo, tatizo ni kutumia kaz yako ya usanii kuiponda jamii au kikund flan, labda nikuulize ni wimbo gani wa kiba unamstari wa UYANGA na USIMBA???Mbona hawa wasanii wenu pendwa Diamond na Kiba walikata viuno jukwaa la chama chakavu na bado mnawashabikia alafu Kiba mbona nae hajifichi ni shabiki wa kutupwa wa Yanga na usisahau mzee JK ni Yanga pia ila aliongoza nchi ngoja nivunge ila list ni ndefu muacheni Young Killer
kile ni kipindi cha kampeni ndugu hivyo ni kawaida sana kumwona msanii flan kwenye jukwaa la chama flan, labda nikuulize baada ya uchaguz umemwona tena msanii akipanda kwenye majukwaa ya siasa?Mbona hawa wasanii wenu pendwa Diamond na Kiba walikata viuno jukwaa la chama chakavu na bado mnawashabikia alafu Kiba mbona nae hajifichi ni shabiki wa kutupwa wa Yanga na usisahau mzee JK ni Yanga pia ila aliongoza nchi ngoja nivunge ila list ni ndefu muacheni Young Killer
uwe mwelewa mkuu ...Mponde kwa mengine sio hilo, wakina Snoop Doggy, Drake, Usain Bolt ni mashabiki wa wazi kabisa wa Manchester United na sijawahi kusikia wakipoteza mashabiki kwa hilo, mtu ambaye hapaswi kuonyesha ushabiki wa wazi labda watu wenye mamlaka makubwa kama Rais, maana akionesha ushabiki siku akitoa msaada wa kawaida itaonekana kawapendelea, au marefa,wachambuzi,na viongozi wa TFF. Lakini msanii wala haathiri chochote ndio maana huwa kuna mechi za wasanii washabiki wa Simba vs wa Yanga na tunaenjoy hata kama msanii hayuko timu yako
kile ni kipind cha kampeni, kwan baada ya uchaguzi kuisha ushawaona wale wasanii waliokuwa wanatumika ccm kpnd kile cha uchaguzi wakitunga nyimbo tena kuisifia ccm?Dogo mkali wewe hakuna kitu alichoharibu ,,yaan mech tu je wale waliokuwa CCM mbona bado mnawasapoti na mmeshasahau kabisa ,,, kuwa msanii hakumfanyi asiweze kuchagua anachokipenda