Huu ni ushauri wangu kwa Young Killer baada ya kutoa sinaga swaga

Mbona hawa wasanii wenu pendwa Diamond na Kiba walikata viuno jukwaa la chama chakavu na bado mnawashabikia alafu Kiba mbona nae hajifichi ni shabiki wa kutupwa wa Yanga na usisahau mzee JK ni Yanga pia ila aliongoza nchi ngoja nivunge ila list ni ndefu muacheni Young Killer
kiba kujulikana kuwa ye ni yanga sio tatizo, tatizo ni kutumia kaz yako ya usanii kuiponda jamii au kikund flan, labda nikuulize ni wimbo gani wa kiba unamstari wa UYANGA na USIMBA???
 
Mbona hawa wasanii wenu pendwa Diamond na Kiba walikata viuno jukwaa la chama chakavu na bado mnawashabikia alafu Kiba mbona nae hajifichi ni shabiki wa kutupwa wa Yanga na usisahau mzee JK ni Yanga pia ila aliongoza nchi ngoja nivunge ila list ni ndefu muacheni Young Killer
kile ni kipindi cha kampeni ndugu hivyo ni kawaida sana kumwona msanii flan kwenye jukwaa la chama flan, labda nikuulize baada ya uchaguz umemwona tena msanii akipanda kwenye majukwaa ya siasa?
 
Mponde kwa mengine sio hilo, wakina Snoop Doggy, Drake, Usain Bolt ni mashabiki wa wazi kabisa wa Manchester United na sijawahi kusikia wakipoteza mashabiki kwa hilo, mtu ambaye hapaswi kuonyesha ushabiki wa wazi labda watu wenye mamlaka makubwa kama Rais, maana akionesha ushabiki siku akitoa msaada wa kawaida itaonekana kawapendelea, au marefa,wachambuzi,na viongozi wa TFF. Lakini msanii wala haathiri chochote ndio maana huwa kuna mechi za wasanii washabiki wa Simba vs wa Yanga na tunaenjoy hata kama msanii hayuko timu yako
uwe mwelewa mkuu ...
ni wimbo gani wa snoop doggy, drake wameimba kuisifia man u?
huyo usain bolt wapi umemwona akikimbia huku amebeba nembo ya man u?
 
Dogo mkali wewe hakuna kitu alichoharibu ,,yaan mech tu je wale waliokuwa CCM mbona bado mnawasapoti na mmeshasahau kabisa ,,, kuwa msanii hakumfanyi asiweze kuchagua anachokipenda
kile ni kipind cha kampeni, kwan baada ya uchaguzi kuisha ushawaona wale wasanii waliokuwa wanatumika ccm kpnd kile cha uchaguzi wakitunga nyimbo tena kuisifia ccm?
 
Kiukweli dogo kapaniki alichokifanya humo ni kutema povu tu kwa watu anaodhani ni maadui zake
 
"WAMBIENI SIMBA YANGA, TOTO NDO MABINGWA.."

Diamond anajiita simba, mr blue nae simba...

jiongeze mwenyewe
 
Yanga ni nyumbu, ukitaka kukusanya mpunga mwingi wasifie, kama magazeti. Hivyo dogo mjanja!
 
Back
Top Bottom