Huu ni ushamba, kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya



Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!

Kwani utaratibu huo umeanza leo

Ova
 


Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!

Mkuu usisahau upo Africa.
 


Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!
Wapi hawafanyi hivyo tuambie?
 
unahamisha magoli. Joe Bidden yupo ndani ya nchi huyo hakuna haja ya zulia jekundu. Hayo mengine nakuachia mwenyewe
Tusiandikie mate wino upo mwingi tu, hebu tazama hiyo clip Hangaya anapita kwenye jamvi?
 


Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!

Naunga mkono hoja kwa asilimia 100. Na niongeze kuwa ni Ulimbukeni na kuto kupevuka Kisiasa na kimtazamo..

Huko nyuma uzi kama huu, nilisema..kuna wengine huo mpaka wanashona mashati na magauni ya vitenge na kuwaomba wananchi wajipange kwa road kuwapokea na kuwakaribisha hawa Waheshimiwa. Kwa kweli bado tuko kwa zama za Ujima.
 
Ngabu kipindi cha mwendazake ulikua unasifia kipindi cha mama unaponda kila kitu, pole sana
 


Nilidhani huyu mama yenu atakuwa tofauti na waliomtangulia.

Kwamba hatoendeleza huu ushamba wa viongozi mbalimbali wa serikali na idara kwenda uwanja wa ndege kumsindikiza aendapo safari na pale arudipo toka safarini.

Yaani majitu yote hayo, kuanzia makamu wa Rais, mawaziri, sijui mkuu wa mkoa, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la wananchi, viongozi wengine waandamizi wa kijeshi na kiaskari [nadhani nimemuona na wa magereza hapo], na chawa wengine.

Si ajabu hata yale Maharage ya Tanesco yalikuwepo hapo.

Huu ushamba ni matumizi mabaya ya muda wa uzalishaji.

Badala ya kuwa maofisini huko na sehemu zingine za kazi, majitu yote hayo yanaenda kurundikana na kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya.

Ushamba na ujuha wa kiwango cha juu kabisa.

Na Rais naye hana busara ya kuwaambia hakuna haja ya kunisindikiza wala kunipokea uwanja wa ndege, na badala yake endeleeni kupiga kazi.

Sisi bado sana aisee!

Hiyo ni mbinu ya kuongeza urefu wa kamba. na hapo bado siku atakayo rudi kamba zitakuwa ndefu zaidi. Maana utasikia Ufaransa wametoa mkopo wa milioni kadhaa, na Ubelgiji wametoa msaada wa madawati kuboresha elimu. Huku TRA wakiongeza dau la kufuli watakalo fungia vibanda vyetu.
 
Ila sisi Watanzania tumekuwa mapumbavu sana! Ina maana wakati wa mwendazake ilikuwa sawa ila kwa huyu mama ni ushamba? Tuache umazwazwa!
 
Naam kuketi na kuachiana majukumu sio kupanga mstari na kuagana na kupungiana mikono...., moja lina tija na halina gharama la pili huenda ikiwa ni matumizi mabovu ya muda au pesa pia kama hao watasema walikuwa kwenye majukumu ya kiofisi

Kusindikizana hata kama kila mtu anatumia gari lake na gharama zake huenda hio msululu na hiyo nyomi ikawa kero na usumbufu wa watu wengine hapo waliopo kwenye shughuli zao...

Hii issue huenda isiwe kubwa kiasi hicho ila na haka kakiwa ka-utamaduni tunaweza mwisho wa mwaka tukakungudua kwamba katika miezi 12 mwezi mzima ulitumika kuagana na kupokeana airport ukizingatia hizi safari ni kila kukicha....
ni mawazo yako haukatazwi kutoa vile akili yako inavyofikiri,ila kaa ukijua protokali lazima izingatiwe...hata kupiga saluti nako kunaweza kuwa ni kupoteza muda,hata magwaride yanayochezwa katika ocassions mbalimbali inaweza kuwa ni kupoteza muda(kwa mujibu wa fikra zako) lakini pia hata kusalimiana nako kunaweza kuwa ni kupoteza muda kwani yanaweza kuachwa yote hayo na mambo yakaenda tu vizuri,hivyo ndivyo uzuri wa uhuru wa kufikiri na kutoa maoni ulivyo..we call it democracy,aise its enough
 
Ila sisi Watanzania tumekuwa mapumbavu sana! Ina maana wakati wa mwendazake ilikuwa sawa ila kwa huyu mama ni ushamba? Tuache umazwazwa!
Mtoa maada alikua anaimba mapambio kipindi kile, muda huu kila kitu kwake ni kibaya,
Binadamu ndivyo tulivyo
 
Infact haina tija...

Kwa sababu hapo sana sana huagwa tu kwa maneno ya kawaida "Safiri salama, ufike salama, safari njema n.k"...

Nyani Ngabu kuna wakati niliweka comment hapa kwenye uzi wako mmoja hivi, kuwa hizi tawala za Kiafrika kwa kiasi kikubwa zimerithi zile taratibu za kiuongozi za kichifu, na ndio maana nchi zetu utaona Rais hapingwi, analambwa miguu, neno lake ni sheria n.k
 
Back
Top Bottom