Ooooh my dia poor Arsenal,.jamani tukio la arsenal kubadilisha mchezaji dk ya 75 mimi nmelifananisha na kutoa kuni kavu na inayowaka na kuweka mbichi jikoni na huu ni ushabiki wa upenzi wa Wenger kwa man U.
arsenal ni janga,c mnakumbuka kenya m2 alinyonga kisa arsenal kufungwa?,basi leo kuna mdada kazimia,.
Ooooh my dia poor Arsenal,.jamani tukio la arsenal kubadilisha mchezaji dk ya 75 mimi nmelifananisha na kutoa kuni kavu na inayowaka na kuweka mbichi jikoni na huu ni ushabiki wa upenzi wa Wenger kwa man U.
Wenger alikuwa anavizia droo. Arshavin aliagizwa aende pale kuongeza ulinzi. Well, at least haikuwa 8 kwa 2!!
Chamberlain ni mtoto na kumbukeni arshavin ana uzoefu na ni nahodha wa timu ya taifa ya urusi na hata chamberlain asingetoka ingewezekana kutoa boko!!!nna uzoefu wa mda mrefu kufanya sub!!!!!!!siyo maneno yangu ni babu wenger!