miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,822
- 48,962
Habari zenu ...
Yaani wiki haishi wachaga tunanyanyaswa hatujui mapenzi ..
wewe umechukua hatua gani ya kutufundisha ...
Mnataka tufanyaje sasa hapa naomba mtufunde nyie mnaojiona mnayajua mapenzi....
oooh tunalala kama gogo. ooh anafungua papuchi anaweka hapo hata romance hataki.......
oooh miguu membamba ....
oooh sijui tunamanyonyo makubwa ......
oooh tunaweka pesa mbele nitafurahiaje gegedo lako wakati sina hela pochi inalia njaaa...
mapenzi yanahitaji akili itulie na si kuwa na mawazo ...
kama na vimatatizo vidogo dogo tafuta suluuu na ndiyo tuendelea....
Aiiiiiiii mmechefua roho yangu..
Kwa kweli huu ni unyanyasaji wa kijinsia mkiendelea naenda washtaki .. kama sijui nifundishe....
ANGALIZO: MAPENZI NA NJAA HAPA HAKUNA...... HAPA MPANGO MZIMA NIPE NIKUPE....
Yaani wiki haishi wachaga tunanyanyaswa hatujui mapenzi ..
wewe umechukua hatua gani ya kutufundisha ...
Mnataka tufanyaje sasa hapa naomba mtufunde nyie mnaojiona mnayajua mapenzi....
oooh tunalala kama gogo. ooh anafungua papuchi anaweka hapo hata romance hataki.......
oooh miguu membamba ....
oooh sijui tunamanyonyo makubwa ......
oooh tunaweka pesa mbele nitafurahiaje gegedo lako wakati sina hela pochi inalia njaaa...
mapenzi yanahitaji akili itulie na si kuwa na mawazo ...
kama na vimatatizo vidogo dogo tafuta suluuu na ndiyo tuendelea....
Aiiiiiiii mmechefua roho yangu..
Kwa kweli huu ni unyanyasaji wa kijinsia mkiendelea naenda washtaki .. kama sijui nifundishe....
ANGALIZO: MAPENZI NA NJAA HAPA HAKUNA...... HAPA MPANGO MZIMA NIPE NIKUPE....